corymbosa
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 265
- 141
[emoji23]Wabongo bwana hebu wekeni picha za wake zenu tuone walivyo wazuri.
"Typed with my thumbs."
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]Wabongo bwana hebu wekeni picha za wake zenu tuone walivyo wazuri.
"Typed with my thumbs."
Vijana hawawezi kuelewa mkuu.Safi,upendo na mapenzi Siyo sura ni kupata mtu mnayeheshimiana,mnajaliana,mnasikilizana,mnapendana,hayo ya muonekano hayana nafasi ktk maisha ndiyo maana siku hizi Ndoa hazidumu cos Watu wanatamaniana body morphology,sura sijui nywere oooh Sijui chura,wanawake nao wanaangalia six pack Sijui na mbwembwe kibao mkianza kuchokana dakika 0 mnatengana
Hongera sana Ben,Kila la heri maana umepata wa Maisha yako na si wa JF,fesibuku au instagram.
Nikweli kabisaVijana hawawezi kuelewa mkuu.
Ila kwangu hii ni move haina uhalisia mavazi ya bibi harusi, mekaup havina uhalisia na tukio.Nikweli kabisa
Kinachonishangaza huyu dada Ana ubaya gani mpaka mnatokwa na mineno ya hovyo hivyo!Nani mzuri zaidi?[emoji4][emoji4][emoji4] View attachment 1024413
Inaelekea na wewe ulikuwa unawashwa na pilipili inayoliwa na nyumba ya mtaa wa 7!
Hapana bhana, mi unanionea! Siwezi kuwashwa na pilipili ya nyumba ya jirani seuze iliyobaki shamba!!
Ngoja tuone mwisho wake maana hakuna siri duniani mkuuIla kwangu hii ni move haina uhalisia mavazi ya bibi harusi, mekaup havina uhalisia na tukio.
Hapo mwanamke ni yupi na mwanaume ni yupi,mwenye mkorogo au asie na mkorogoMTANGAZAJI maarufu Bongo, Ben Kinyaiya siku ya leo Jumamosi afunga ndoa ya kiserikali na mchumba wake wa siku nyingiView attachment 1024168View attachment 1024169View attachment 1024195
PICHA PAMOJA : Ben Kinyaiya na Mkewe Katika Private party yao baada ya kufunga Ndoa ❤❤View attachment 1024625
Enzi za uchumbaView attachment 1024367
[emoji12][emoji12][emoji12]Kinachonishangaza huyu dada Ana ubaya gani mpaka mnatokwa na mineno ya hovyo hivyo!
Kumbe unakijua kile kijiji cha ngalanga karibu na nazareth?Mkuu hii id yako nikiiona huwa nakumbuka eneo fulani hivi, we mtu wa Njombe?
Sent using Jamii Forums mobile app