Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Eeh ndiooKumbe unakijua kile kijiji cha ngalanga karibu na nazareth?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh ndiooKumbe unakijua kile kijiji cha ngalanga karibu na nazareth?
Kumbe Wewe ndo yule binti mrembo sana uliekuja kutembelea siku flani pale
Acheni mindset za kiboya watanzania. Huyu mangi sio choko. Ni vile anapenda kuwaiga wakongo. Huyo mwanamke ana mzigo. Ben kamchukua shauri ya pesa.Mmmh jamaniii sio mwanaume huyo kweli kavaa shela kutuzuga tuu ili akamkule ben vizuri..kha🙈
Bora dada yangu umeandika.Kusutwa ni suna
Ben anaoa na kuacha wadada wanaoishi ughaibuni wenye passport zao. Awe ameachwa na mzungu au alijilipua au alizaliwa yeye anachotaka ni mdada wa Ughaibuni mwenye life.
Akishakuwa mume halali huwashawishi wadada wachukue mikopo benki na hela Ben anaizungusha kwenye biashara zake.
Alishaoa Denmark na Uingereza alimuoa Suzy mtoto wa Kidigo.
Kwenye maslahi Ben haangalii sura.
Kuna wakati mdada wa Denmark alitaka Kinyaia Pub iuzwe apewe chake baada ya kujua alitumika mapenzi hakuna.
Naunga mkono hojaHuyo ni mke au mume kavalishwa gauni tu,.. Usije kuta ni ndoa ya jinsia moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Genius wa ushoga?
Muoaji nani hapoMwanaume anang'ara kuliko muolewaji[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tehe..... Kwani imekuwaje tena..... Na mie nipo kwenye kundi hilo.... Tehe....😉Nawapa pole wale wote watakaofunga ndoa mwaka huu.
Kweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"[/QUOTE]
Kabisa Mkuu! Wacha tuwatakie Heri, tupambane na hali zetu...
Acheni hizo huyu mangi Ben sio shoga. Tunamjua vema. Sema jamaa ni opportunist sana.Genius wa ushoga?