Hapo ni hela tu huku kylin anaomba Mzee afe harakaThe same reason ambayo ilimfanya Jackline amkubalie Reginald Mengi
Hongera blaza! Hapo hata ukisafiri mwezi, huna shaka na mabazazi!
Raha ya mke aijuaye mume! Sio kila mzuri kwako ni mzuri kwangu!
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😋😂😂😂😂😋✌✌✌Nawapa pole wale wote watakaofunga ndoa mwaka huu.
Pongezi zangu zimuendee mpambaji wa bibi harusi hakika alifanya kazi ya ziada kwa kweli
Nishawahi kuwa na mahusiano na shape hizi!! Baba K ilikuwa si ya bara hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapambaji maharusi, mekaup nadhani watakuwa wameelewa comment yangu Kuna sura nyingine ukiletewa uzipambe unabaki unajiuliza naanzia wapi yaani ni kwikwi 🤣🤣🤣🤣Ahahhaa alimpamba kwa siku 3 mfululizo😂😂
Dah we mtu mbaya sanaaaaaaaHuyo ni mke au mume kavalishwa gauni tu,.. Usije kuta ni ndoa ya jinsia moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapambaji maharusi, mekaup nadhani watakuwa wameelewa comment yangu Kuna sura nyingine ukiletewa uzipambe unabaki unajiuliza naanzia wapi yaani ni kwikwi 🤣🤣🤣🤣
Sijakukimbia swiry... Bado u tele moyoni... ❤️❤️We mwanamke, hivi ni kwanini hasa ulinikimbia? Au sababu niko majalala. 😁😁
-Kaveli-
Sijakukimbia swiry... Bado u tele moyoni... ❤️❤️
AiseeHuyo ni mke au mume kavalishwa gauni tu,.. Usije kuta ni ndoa ya jinsia moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kufufuaInapendeza... I
ngawa ishapita... huyu mwanamke atakua anajua siri nyingi sana za Ben... au kuna siri nyingi sana anamfichia...
Cc: mahondaw
kwa sentensi hii unahitajika mahakamani
Hahahahahah, akatoe ushahidikwa sentensi hii unahitajika mahakamani