Ben Kinyaiya afunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi

Wapambaji maharusi, mekaup nadhani watakuwa wameelewa comment yangu Kuna sura nyingine ukiletewa uzipambe unabaki unajiuliza naanzia wapi yaani ni kwikwi 🤣🤣🤣🤣

hahahhahahahahahaa....mie binafsi nimekuelewa sana sana !😂😂
 
Yaani mume anamvuto kuliko mkewe, hii itakuwa movie.

Huyu bibi atakuwa anapesa sana na anajua kulea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…