Ben Kinyaiya afunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi

Kwahyo mnaoa vtu vibovu ili msigongewe eeeh ngoja aharibu sura watoto. Pia warembo hupenda wanaume wenye sura ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahah nimecheka kama mwendawazimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaaah sio kweli bhana.unawajua warembo wa siku hizi?

Mimi kazini Naumia kila siku watoto wanajigonga,wanajichekesha bila sababu,wako romantic na mimi wakiongea,ila akija ndigu yake wasila wanaongea huku wanabana lipsi ili yaishe.

Kwahyo mnaoa vtu vibovu ili msigongewe eeeh ngoja aharibu sura watoto. Pia warembo hupenda wanaume wenye sura ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Warembo wa kidigital eeeh

Kwahyo wasira akija gear inabadilishwa angani ila mwanaume unaoneaje mtu ka jike dume mapenzi haya ni upofu aisee
Aaaah sio kweli bhana.unawajua warembo wa siku hizi?

Mimi kazini Naumia kila siku watoto wanajigonga,wanajichekesha bila sababu,wako romantic na mimi wakiongea,ila akija ndigu yake wasila wanaongea huku wanabana lipsi ili yaishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…