Ben Kinyaiya afunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi

Ben Kinyaiya afunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi

Nani mzuri zaidi?[emoji4][emoji4][emoji4]
duniani%20wa%20wili%20wawili%20%20au%20macho%20yangu%20_blush__blush_.jpeg
 
Kwahyo mnaoa vtu vibovu ili msigongewe eeeh ngoja aharibu sura watoto. Pia warembo hupenda wanaume wenye sura ngumu
Kwanza tujiulize huyu mwanamke nani anamjua?
Je anafahamika mjini ?

Kama hafahamiki aisee itakuwa ni kinyume ya picha hii.

Lakini unajua mahandsome boy hatuowagi wanawake waliotuzidi uzuri?
Tunaogopa sana kugongewa,alafu pili hatunaga stress labda eti umzimie saaaaaaaana kwa uzuri wake,tunaona kawaida na tunawapenda wake zetu kwa afya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!

Kipendacho roho hula nyama mbichi

Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!

Adhabu ya kaburi, aijuae maiti

Siri ya mtungi, aijuae kata!

Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
Hahahahah nimecheka kama mwendawazimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaaah sio kweli bhana.unawajua warembo wa siku hizi?

Mimi kazini Naumia kila siku watoto wanajigonga,wanajichekesha bila sababu,wako romantic na mimi wakiongea,ila akija ndigu yake wasila wanaongea huku wanabana lipsi ili yaishe.

Kwahyo mnaoa vtu vibovu ili msigongewe eeeh ngoja aharibu sura watoto. Pia warembo hupenda wanaume wenye sura ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Warembo wa kidigital eeeh

Kwahyo wasira akija gear inabadilishwa angani ila mwanaume unaoneaje mtu ka jike dume mapenzi haya ni upofu aisee
Aaaah sio kweli bhana.unawajua warembo wa siku hizi?

Mimi kazini Naumia kila siku watoto wanajigonga,wanajichekesha bila sababu,wako romantic na mimi wakiongea,ila akija ndigu yake wasila wanaongea huku wanabana lipsi ili yaishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom