Ben Kinyaiya afunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi

Ben Kinyaiya afunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi

Kusutwa ni suna
Ben anaoa na kuacha wadada wanaoishi ughaibuni wenye passport zao. Awe ameachwa na mzungu au alijilipua au alizaliwa yeye anachotaka ni mdada wa Ughaibuni mwenye life.

Akishakuwa mume halali huwashawishi wadada wachukue mikopo benki na hela Ben anaizungusha kwenye biashara zake.

Alishaoa Denmark na Uingereza alimuoa Suzy mtoto wa Kidigo.

Kwenye maslahi Ben haangalii sura.

Kuna wakati mdada wa Denmark alitaka Kinyaia Pub iuzwe apewe chake baada ya kujua alitumika mapenzi hakuna.
opportunist huh!
 
Kweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!

Kipendacho roho hula nyama mbichi

Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!

Adhabu ya kaburi, aijuae maiti

Siri ya mtungi, aijuae kata!

Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
Hahahahahaha umenichekeshaa sanaa we mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wwwwoooozaaa had tunapata ngv ghafla yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..shoga na mm natafta sasa rasmi[emoji1]
Sawa tu shoga ila kwenye mavazi usiniangushe, nitakuwa matron [emoji3][emoji3]
 
Kwanza tujiulize huyu mwanamke nani anamjua?
Je anafahamika mjini ?

Kama hafahamiki aisee itakuwa ni kinyume ya picha hii.

Lakini unajua mahandsome boy hatuowagi wanawake waliotuzidi uzuri?
Tunaogopa sana kugongewa,alafu pili hatunaga stress labda eti umzimie saaaaaaaana kwa uzuri wake,tunaona kawaida na tunawapenda wake zetu kwa afya.
Mimi nina mashaka hayo...Mungu anisamehe tuu..
 
Huyi biharusi lazima ametokea nyanda za juu kusini..yaan ninacheka hilo pose la siku anavalishwa pete jaman khaaa..huo mgauni sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..aisee
Sweetie mbna kama bibi harusi anajina LA kihaya
Screenshot_20190216-213914.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza tujiulize huyu mwanamke nani anamjua?
Je anafahamika mjini ?

Kama hafahamiki aisee itakuwa ni kinyume ya picha hii.

Lakini unajua mahandsome boy hatuowagi wanawake waliotuzidi uzuri?
Tunaogopa sana kugongewa,alafu pili hatunaga stress labda eti umzimie saaaaaaaana kwa uzuri wake,tunaona kawaida na tunawapenda wake zetu kwa afya.
Hahahah maHB mna mbwembwe sanaa
 
Kwanza tujiulize huyu mwanamke nani anamjua?
Je anafahamika mjini ?

Kama hafahamiki aisee itakuwa ni kinyume ya picha hii.

Lakini unajua mahandsome boy hatuowagi wanawake waliotuzidi uzuri?
Tunaogopa sana kugongewa,alafu pili hatunaga stress labda eti umzimie saaaaaaaana kwa uzuri wake,tunaona kawaida na tunawapenda wake zetu kwa afya.
Huyu hapa..
Screenshot_20190216-213914.jpeg
FB_IMG_1550342388444.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom