View attachment 333964As a celebrity kujiweka msafi ni haki lakini kujiongezea mapambo mikogo na madoido ikiwemo kutumia make ups za wanawake kunaacha maswali mengi na kupunguza urijali wako kama mwanaume.
Dressing table inapofananaa na ya wanawake unataka tukueleweje, mdogo mdogo Ben usije rusha ngumi siku moja.
Huyu jamaa si alioa binti mmoja wa kitanga anaishi Stockwel?View attachment 333987
'"Weekend iliyopita nilialikwa kwenye Part na rafiki zangu waishio mji wa NOTRHAMPTON ambao upo umbali wa kama masaa 2 kwa gari kutoka apa London UK. kwakweli nimeufurahia ukarimu wao waluionionyesha kwani wengi wao walikuwa wananisikia tu kwa jina lakini hatukuwahi kuonana 'LIVE' so ilikuwa ni furaha kwa wote kukutana, na walikuwepo watu wa aina mbalimbali kwenye Part hiyo kwa ajili ya chakula na kinywaji na kila mtu alijishebedua atakavyo!" ( By Kinyaia)
rijali mihereni na vishaufu mdomoni.ben ni handsome ila ni rijali
si naskia huyu nae ni ''wale wale''jamaa ni mrembo sana........
Sshv mods wanakuban jrAs a celebrity kujiweka msafi ni haki lakini kujiongezea mapambo mikogo na madoido ikiwemo kutumia make ups za wanawake kunaacha maswali mengi na kupunguza urijali wako kama mwanaume.
Dressing table inapofananaa na ya wanawake unataka tukueleweje, mdogo mdogo Ben usije rusha ngumi siku moja.
Lisemwalo lipo kama halipo laja[/QUOT
RuvumaANAISHI MKOA GANI HUYO?
We unafikir mashoga siyo rijali?! hahahhaaaben ni handsome ila ni rijali
Huenda ni "a woman trapped in man's body" kama Bruce Jenner aka Caitlyn Jenner.Nae aachee yaan amekaribia kufanyiwaa surgery awe mwanamke kabisaa
Wamekomaaa sura. KhaaaaaaaNasikia ni mchagga huyu dogo,wachagga wenzie pale Tabata dampo wamekomaa sura yeye analainisha sura!
Bora hatoki Dar maana kuna watu humu watakuja kutujumuisha na si wengine .jamaa ni mrembo sana........