Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Jamani ni aibu......... Ben Kinyaiya jana alitaka kupiga picha na Drogba pale uwanja mpya wa taifa.....lakini akivyosukumwa na watu wa security......ni aibu kwa jinsi alivyodondoka chini.............. YAANI JANA KAJIDHALILISHA SANA KWA KITENDO KILE......... kuna mwingine kaona hilo .......????