GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
He was a Proffessional Journalist! Sio hawa waleo ambao akipata tecno akafungua account anatafuta mic na kuanza kusumbua youtube!
Ukisoma ' Articles ' zake kwa mfano zile ' Op-ed ' mbalimbali alizokuwa akiandika katika Magazeti ya Daily News na Citizen utagundua aliiva sana.