Ben Msuya: Askari Mtanzania aliyepata kuongoza Uganda

Ben Msuya: Askari Mtanzania aliyepata kuongoza Uganda

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
Ni Maj.Gen.Benjamin "Ben" Msuya wakati huo akiwa na cheo cha Lt.Col.

Ndiye aliyeongoza kikosi vya JWTZ kilichotwaa jiji la Kampala.

Huyu ndiye aliyelazimika kulidhibiti jiji la Kampala na Ikulu ya Uganda wakati akisubiri kuwasili Raisi mpya wa Uganda, Prof.Yussuf Kironde Lul

Watanzania hatuna habari na shujaa huyu, lakini gazeti la Monitor la Uganda walimtafuta na kufanya naye mahojiano.

Soma hapa chini.


"MUSUYA: THE TANZANIAN GENERAL WHO RULED UGANDA FOR THREE DAYS."

By Henry Lubega.

When Idi Amin attacked Tanzania in mid-November 1978, I was in the army serving in the southern zone of Tanzania. We were all shocked about the attack because Tanzania had not had any bad relationship with Uganda. But we knew Amin did not like Tanzania because we were hosting Ugandan refugees, especially UPC people.

The attack on Kagera found me with President Mwalimu Julius Nyerere in the barracks in the southern zone. At first Nyerere didn't believe but at around 8pm, it was confirmed through BBC.

Mwalimu decided to have dinner with the troops in which he talked about the attack. During the dinner, he said: "We don't believe he had any cause to do what he has done, what remains is to go and flush him out of our country." The reply to Amin's action was also sent through BBC radio.

We didn't have troops on the border with Uganda and there was a small police post which Amin overrun, killing the regional police commander there.

As we were preparing to retaliate, Amin men were busy looting and killing. Kagera sugar factory was looted clean and all corrugated iron sheets in the area were looted. They also blew up the bridge on River Kagera connecting the salient to the rest of the country, and declared the salient part of Uganda. Amin's men stationed troops in places such as Kakunyu Kyaka and Minziro to oversee the new territory.

It took us two weeks to plan and mobilise our troops to move to Kagera. Our mission was to get Amin out of Tanzania, we had no intention whatever of getting into Uganda.

Amin, however, announced that taking the salient was just phase one, phase two was to go through Arusha and secure the port of Tanga. With those threats, Nyerere decided that if it was going to be war with Amin it should be within Uganda not on the Tanzanian soil.

When we deployed south of River Kagera, it took us time to be able to cross the river. It was the 19th Battalion under my command that crossed the river first.

We used small boats to cross and secure an area to build a pontoon bridge (floating bridge) for the rest of the troops. Within December, we flashed him out of the salient. But by then, more than 1,000 Tanzanians had been killed in the salient. This was a blessing in disguise as it psychologically prepared our soldiers to hit back, and they had buried the rotting dead bodies Amin had left behind.


Entering Ugandan territory

After pushing him out of Tanzania, Amin continued sending bombs into our country, and this was not going to go unanswered. He consistently bombed the areas of Mutukula, Kikanda, Minziro, and Kakunyu. We first had to knock him out of his positions and occupy them so that if he was to continue bombing us, it would be when we are inside Uganda.

War is an art of fighting not about superiority in weaponry; Idi Amin depended on his superior weaponry. We dislodged him from our territory.

When we captured Mutukula, Amin's soldiers fled, leaving behind a host of superior weaponry. This gave us our first war harvest. We camped in Mutukula for some time to gauge the reaction from Kampala. We pushed ahead and captured Kalisozo.

However, Amin remained defiant, we decided to move on to revenge for our people killed in Kagera and also to teach him a lesson that what he had done was not good. That is when we decided to capture Masaka and Mbarara and do some good damage in the two towns like Amin had done in Kagera.

Just before capturing the two towns, a meeting under the United Nations was organised in Nairobi, Kenya to address the situation. Uganda was represented by Mathias Lubega, the then Foreign Affairs minister. At the meeting, Lubega announced that what had been done was phase one and phase two was to capture the port of Tanga.

Chanzo: Musuya: The Tanzanian general-- who ruled Uganda for three days - Special Reports

cc Manyerere Jackton, Pasco, Ben Saanane, ZeMarcopolo, Mag3, Chademakwanza, Mzee Mwanakijiji, Echolima, Nguruvi3, Ritz
 
Wana siasa ambao hawajaifanyia lolote nchi hii ndiyo wanaongoza kufaidi keki ya Taifa!

Mafao ya akina Zitto,Kafulila,Makamba,Ridhiwani,Mnyika,Lema na wengineo ni MAKUBWA zaidi ya nashujaa kama Brig Msuya na RIP Brig Lupembe

Inauma sana kwa kweki!
 
Rais Pieere Buyoya haji kumsahau huyo alipojitia kuleta za kuleta kwa Tanzania alishitukia kikosi cha makomandoo wakiongozwa na Msuya kimeshatua Ikulu BUJUMBURA aliruka na ndege mbio kupiga magoti Tanzania kwa raisi kuomba msamaha kuwa amekoma harudii choko choko tena
 
Rais Pieere Buyoya haji kumsahau huyo alipojitia kuleta za kuleta kwa Tanzania alishitukia kikosi cha makomandoo wakiongozwa na Msuya kimeshatua Ikulu BUJUMBURA aliruka na ndege mbio kupiga magoti Tanzania kwa raisi kuomba msamaha kuwa amekoma harudii choko choko tena

Safi mkuu,alifanya choko choko gani??
 
Mkuu hebu dadavua hapo
Rais Pieere Buyoya haji kumsahau huyo alipojitia kuleta za kuleta kwa Tanzania alishitukia kikosi cha makomandoo wakiongozwa na Msuya kimeshatua Ikulu BUJUMBURA aliruka na ndege mbio kupiga magoti Tanzania kwa raisi kuomba msamaha kuwa amekoma harudii choko choko tena
 
Mwaka 2009 kituo cha TBC walifanya documentary ya major general MSUYA walimtembelea nyumbani kwake,aliongea vitu vingi sana kuhusu vita ya Kagera ila kikubwa ninacho kumbuka alisema walifanikiwa kumthibiti IDD AMIN ila walisubiri amri ya kumua kutoka kwa amir jeshi mkuu Nyerere ambaye aliwakataza wasimdhuru iddi amin, wamwache atoroke,kwa hasira wale majemedari wa kikosi cha mbele waliyapiga magari ya walinzi wake na kuwaua ila wakaacha gari la iddi amin na akakimbia.

Pia walihojiwa mashujaa wengine kama Msuguri,tumainel kiwelhu pamoja na balozi mahiga ambaye alikuwa mkuu wa mafunzo usalama wa taifa,pamoja na RSO wa mikoa ya mwanza na kagera ambao walitoa mchango mkubwa kwenye vita ya Kagera.
 
mwaka 2009 kituo cha TBC walifanya documentary ya major general MSUYA walimtembelea nyumbani kwake,aliongea vitu vingi sana kuhusu vita ya Kagera, ila kikubwa ninacho kumbuka alisema walifanikiwa kumthibiti IDD AMIN ila walisubiri amri ya kumua kutoka kwa amir jeshi mkuu Nyerere ambaye aliwakataza wasimdhuru iddi amin ,wamwache atoroke,kwa hasira wale majemedari wa kikosi cha mbele waliyapiga magari ya walinzi wake na kuwaua ila wakaacha gari la iddi amin na akakimbia.

Pia walihojiwa mashujaa wengine kama Msuguri,tumainel kiwelhu pamoja na balozi mahiga ambaye alikuwa mkuu wa mafunzo usalama wa taifa,pamoja na RSO wa mikoa ya mwanza na kagera ambao walitoa mchango mkubwa kwenye vita ya kagera

Kwa hiyo Idd Amin hakutoroka ila alitoroshwa na makamanda, Hii ni heshima kubwa sana kwa Taifa.

Halafu leo kuna wapuuzi wachache kwa kupiga blabla kwenye majukwaa ya kisiasa wanajiita Wazalendo.

Inabidi lipite somo la kutosha kuhusu neno Uzalendo naona linatumika isivyo.!
 
Kuna huyu capt:robert wa mapinduzi mfu ya 1983&84 huwa akianza kuelezea harakati za hii vita umaweza kubaki mdomo wazi!!
--hasa pale ilipotumika nguvu ya ziada toka kwa sir god#
#msuguli ,msuya na komando john nyerere ilikuwa sehemu ya kivutio kikubwa kwa kila mwanajeshi…
 
Tatizo kubwa sana ambalo lilisababisha watu wengi sana wasiweze kuandika au kutoa habari hasa ni UELEWA katika jambo hili wengine waliona wakiandika au kuelezea chochote kuhusu Vita vya Kagera kunaweza kuhatalisha usalama wa Taifa kitu ambacho si kweli Jambo lingine ambalo wengi walihisi na kuhofu kuwa kandika au kutoa maelezo yoyote kuhusu tukio lolote la kijeshi ni sawa na kuuweka usalama wa Taifa matatani maana msemaji wa Jeshi ni Jeshi lenyewe.

Pia Jeshi lenyewe halikuwa na utamaduni wa kuweka kila kumbukumbu ya askari wake wadogo kwa wakubwa wazi(Public) hii pia imechangia kiasi kikubwa sana mashujaa wetu wengi walipopoteza maisha yao jamii kwa ujumla iliwasahau kabisa sababu hakuna kumbukumbu zao kwenye tovuti ya JWTZ hata uki-Google huwezi pata ingawaje majeshi mengine duniani huwa yana utamadumu wa kuweka kumbukumbu kwenye tovuti zao.
Mkuu JokaKuu unajua vita ya Kagera tumekosa uhoondo mkubwa kwasababu ya makamanda wetu wengi hawakutaka kuandika uzoefu wao katika vita hiyo kibaya zaidi wengi wameshatangulia mbele ya haki.
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo Idd Amin hakutoroka ila alitoroshwa na makamanda, Hii ni heshima kubwa sana kwa Taifa.

Halafu leo kuna wapuuzi wachache kwa kupiga blabla kwenye majukwaa ya kisiasa wanajiita Wazalendo.

Inabidi lipite somo la kutosha kuhusu neno Uzalendo naona linatumika isivyo.!

Umeanza vyema umemaliza kwachuki
 
Mkuu JokaKuu unajua vita ya Kagera tumekosa uhoondo mkubwa kwasababu ya makamanda wetu wengi hawakutaka kuandika uzoefu wao katika vita hiyo kibaya zaidi wengi wameshatangulia mbele ya haki.

Kweli kabisa
 
Last edited by a moderator:
bora wameenda huko kwani deni la taifa lingezidi kupaa juu sana kama wangekuwepo nchini
 
Kuna huyu capt:robert wa mapinduzi mfu ya 1983&84 huwa akianza kuelezea harakati za hii vita umaweza kubaki mdomo wazi!!
--hasa pale ilipotumika nguvu ya ziada toka kwa sir god#
#msuguli ,msuya na komando john nyerere ilikuwa sehemu ya kivutio kikubwa kwa kila mwanajeshi…

Vita inamambo mengi mkuu
 
Kuna huyu capt:robert wa mapinduzi mfu ya 1983&84 huwa akianza kuelezea harakati za hii vita umaweza kubaki mdomo wazi!!
--hasa pale ilipotumika nguvu ya ziada toka kwa sir god#
#msuguli ,msuya na komando john nyerere ilikuwa sehemu ya kivutio kikubwa kwa kila mwanajeshi…

Mkuu huyu John Nyerere (RIP) aliyefariki hivi majuzi alikuwa komandoo!? Nasikia na ndugu yao mwingine alifia vitani. Dah! Kweli Mwl. alikuwa Jemadari, kwake hakuna cha mtoto wala nini linapokuja suala la ulinzi wa taifa. Nikisikia neno "Amiri Jeshi Mkuu" always picha ya Mwl. inanijia.

Sio leo wengine wako pale kwa favor tu kwa sababu Baba naye alikuwa mtu mzito huko Serikalini au Chamani. Nasikia kuna mmoja alitoroka (alikimbia) JKT lakini leo ni mtu mzito sana sana huko juu na kibaya (kizuri?) zaidi pia anautamani u-Amri Jeshi Mkuu.
 
Back
Top Bottom