Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nakufagilia kwa kuwa na rational thinking...I see ur point.
..labda tuseme Msuya "alitawala" au "aliongoza" Uganda.
..pia ukumbuke source ya habari hizi ni waandishi wa Uingereza Tony Avirgan na Martha Honey walioandika kitabu "War in Uganda --The legacy of Idi Amin." Hawa waandishi walikuwa embedded ktk majeshi ya Tz yaliyoingia Uganda.
..halafu hata huyu mwandishi wa The Monitor gazeti la Uganda naye ameandika habari hiyohiyo baada ya kumhoji Maj.Gen.Ben Msuya.
..kwenye kitabu cha hao Waingereza, wanasema Ben Msuya alikuwa na cheo cha Lt.Col na ndiye aliyeongoza kikosi cha JWTZ kilichoteka jiji la Kampala. Nadhani hilo halina ubishi.
..hii habari haitakuwa na maana kwako bila kwanza kuelewa mambo yafuatayo: 1. kutekwa kwa jiji la kampala na kukimbia kwa Iddi Amin; 2. Oyite Ojok kutangaza kuwa Amin amepinduliwa; 3. vikao vya Waganda vilivyokuwa vikifanyika Moshi kuunda serikali ya mpito na kumteua raisi wa mpito; 4. Prof.Yussuf Lule kuapishwa kuwa raisi wa mpito wa Uganda.
..Iddi Amin hakuwa replaced moja kwa moja, kulipita muda fulani tangu Amini aondoke Kampala, na Prof.Yussuf Kironde Lule kuapishwa kuwa raisi. Sasa tangu Amin akimbie na Lule aapishwe, Lt.Col.Ben Msuya alikuwa incharge wa masuala yote Kampala, na ndiyo maana kuna wanaosema "alitawala" au "aliongoza" Uganda.
NB:
..umesema kweli. Baada ya tangazo la Oyite Ojok, Iddi Amin alitangaza redioni kwamba bado ni raisi wa Uganda.
cc Malafyale, Echolima, MK254, Nguruvi3, Kichuguu
Itaandika na nani? wenzetu wakitoka vitani wanaandika ili kutunza kumbukumbu.Kuna miaka ya kutunza siri haijafika ikifika historia itaandikwa.
..GOOD!!
..nina hakika uta-enjoy sana vitabu hivyo.
..mimi nimesoma hicho cha Tony Avirgan na Martha Honey.
MARINE HASSAN na JWTZ Waliandaa documentary ya zaidi ya masaa 6 kuhusu vita ya kagera ,mashujaa wote uliowataja wapo humo ndani TBC nafikiri watakuwa nayo libraryHivi hakuna mtu anayeweza kuanzisha project ya kudocument vita ya Kagera vizuri naamini kitabu kama hicho kitalipa sana, bado askarina makamanda wengi walioshiriki vita hiyo wako hai, japokuwa kukosa maandiko au maelezo kutoka kwa makamanda kama hawa wliokwishafariki (Maj. Gen. Silas Mayunga, Maj. Gen.Mwita Marwa,, Maj. Gen. John Warden) ni mambo mengi yatakuwa yamekosekana.
Mkuu nashukuru kwa taarifa,Nitakujuza hizi karibuni hali halisi!!!..shujaa Maj.Gen.Ben Msuya alipata na matatizo makubwa sana ya afya.
..serekali ilimpeleka Uingereza kwa ajili ya matibabu na hapa chini anaelezea nini kilitokea.
[+VIDEO]Msikie Meja Jenerali Mstaafu, Benjamin Noah Msuya akieleza alivofufuka na alichoona kuzimu ~ KevChaz Update
cc Echolima
Hii kitu acha kabisa. Nakumbuka ilikua ni kipindi cha rais Mkapa, rais hakutaka kujishughulisha na zile chokochoko huvyo akawaambia vijana wafanye wanachoona kinafaa ndani ya muda sahihi.Rais Pieere Buyoya haji kumsahau huyo alipojitia kuleta za kuleta kwa Tanzania alishitukia kikosi cha makomandoo wakiongozwa na Msuya kimeshatua Ikulu BUJUMBURA aliruka na ndege mbio kupiga magoti Tanzania kwa raisi kuomba msamaha kuwa amekoma harudii choko choko tena
Yaani hivi inawezekana kweli Nyerere atutie kwenye umaskini mkubwa kisa kumrudisha madarakani Obote? Sidhani aiseeeeMkuu
Nchi nyingi sana zina sheria ya kuzuia askari aliyetoka kwenye combat mission kusimulia waliyo yafanya!Huwa wanapewa miaka fulani hadi ipite ndipo waseme yote
Nina imani ipo siku makamanda watakao kuwa hai watatueleza yote fichika kuhusu vita vya Uganda hasa kama ni kweli Idd Amin alituvamia au ilitafutwa tu chanzo Nyerere aivamie Uganda amrudishe madarakani rafiki yake Obote?
Aiseeeee Sasa Buyoya alikuwa Na Maslahi gani Na Tanzania mpaka aanze chokochoko.Ila Askari wetu nadhani walitumia ujuzi wa Hali ya juu Na umakini mkubwaHii kitu acha kabisa. Nakumbuka ilikua ni kipindi cha rais Mkapa, rais hakutaka kujishughulisha na zile chokochoko huvyo akawaambia vijana wafanye wanachoona kinafaa ndani ya muda sahihi.
Burundi walifanya sana chokochoko, mpaka askari wa mpakani wakaamua kujibu ingawa kwa umakini sana.
Baada ya kujibu mapigo, Buyoya alilalamika kuwa majeshi ya Tanzania yamevamia kambi za kijeshi nchini Burundi na kuua askari wao. BBC nao wakaitangaza sana hii habari lakini ushahidi ulikosekana.
Kilichotokea:
Ni kweli vijana wa Tanzania waliingia Burundi na kuvamia kambi zilikua zinatumika kuandaa mpango vita dhudi ya Tanzania, vijana waliua askari wakateka na silaha kadhaa na zile maiti waliondoka nazo hivyo na kufuta kila aina ya ushahidi utakaothibitisha uvamizi.
Buyoya alilalamika sana na BBC wakaitangaza sana. Lakini haikuthibitika.
Issue ikaingia hadi bungeni, Kikwete ambaye back then alikua waziri wa mambo ya nje akasikika akiongea bungeni kuwa "wakipiga risasi mbili, sisi tutajibu saba".
Nakumbuka safari hii vijana walisali kabisa ili wasikie angalau mlio wa pancha ya gari au baiskeli ili wasingizie risasi na wao waingie kazini. Sara zao zikajibiwa, kwani Buyoya aliingiza majeshi yake ndani ya umbali ambao kisheria inahesabika kuwa ni uvamizi dhudi ya nchi nyingine, ingawa bado ilikua ni nchini mwake.
Hali ya hewa usiku ule ilikua ni ya ukungu fulani hivi na giza nene, hali hiyo vijana waliitumia kama camouflage/concealment kuingia ndani ya Burundi na maeneo yake muhimu. Kulipopambazuka tayari the heart of Burundi ilikua kwenye viganja vya vijana. Kumbuka maneuver inafanyika huku nchini hakuna tena anayeongelea swala hilo hata watanzania wanalisikia tu kupitia BBC huku vyombo vya ndani vikiwa kimya, viongozi nao kimya.
Buyoya akawa amechanga nyikiwa maana alihakikishiwa kuwa maneuver ile ilifanywa na vija kama defensive tu wala haikua order toka juu (Mbali na uhasama uliokuwepo, Buyoya alikua na tabia ya kwenda mpakani na kufanya mazungumzo tu ya kawaida na vijana wetu, tuseme walimzoea na pia alikua ni mwanajeshi, ingawa every time alipokuwa akienda alikua heavily guarded). Hali hiyo ilimchanganya kabisa Buyoya akajikuta yupo at the cross road, hakuwa na ujasiri wa kumvaa Mkapa (Mkapa hakua mtu wa kuingilika kijinga) akalazimika kupitia kwa Nyerere.
Yaliyobaki na yaliyofuata ni historia. Hiyo ndiyo ilikua Tanzania ya Watanzania.
Tanzania ya sasa ikikumbwa na jaribu lolote naomba nisiwe mtabiri. Lakini ukiniuliza Tanzania hii na ile nitakwambia bila kupepesa kuwa never put your miney on this Tanzania.
duh?Hii kitu acha kabisa. Nakumbuka ilikua ni kipindi cha rais Mkapa, rais hakutaka kujishughulisha na zile chokochoko huvyo akawaambia vijana wafanye wanachoona kinafaa ndani ya muda sahihi.
Burundi walifanya sana chokochoko, mpaka askari wa mpakani wakaamua kujibu ingawa kwa umakini sana.
Baada ya kujibu mapigo, Buyoya alilalamika kuwa majeshi ya Tanzania yamevamia kambi za kijeshi nchini Burundi na kuua askari wao. BBC nao wakaitangaza sana hii habari lakini ushahidi ulikosekana.
Kilichotokea:
Ni kweli vijana wa Tanzania waliingia Burundi na kuvamia kambi zilikua zinatumika kuandaa mpango vita dhudi ya Tanzania, vijana waliua askari wakateka na silaha kadhaa na zile maiti waliondoka nazo hivyo na kufuta kila aina ya ushahidi utakaothibitisha uvamizi.
Buyoya alilalamika sana na BBC wakaitangaza sana. Lakini haikuthibitika.
Issue ikaingia hadi bungeni, Kikwete ambaye back then alikua waziri wa mambo ya nje akasikika akiongea bungeni kuwa "wakipiga risasi mbili, sisi tutajibu saba".
Nakumbuka safari hii vijana walisali kabisa ili wasikie angalau mlio wa pancha ya gari au baiskeli ili wasingizie risasi na wao waingie kazini. Sara zao zikajibiwa, kwani Buyoya aliingiza majeshi yake ndani ya umbali ambao kisheria inahesabika kuwa ni uvamizi dhudi ya nchi nyingine, ingawa bado ilikua ni nchini mwake.
Hali ya hewa usiku ule ilikua ni ya ukungu fulani hivi na giza nene, hali hiyo vijana waliitumia kama camouflage/concealment kuingia ndani ya Burundi na maeneo yake muhimu. Kulipopambazuka tayari the heart of Burundi ilikua kwenye viganja vya vijana. Kumbuka maneuver inafanyika huku nchini hakuna tena anayeongelea swala hilo hata watanzania wanalisikia tu kupitia BBC huku vyombo vya ndani vikiwa kimya, viongozi nao kimya.
Buyoya akawa amechanga nyikiwa maana alihakikishiwa kuwa maneuver ile ilifanywa na vija kama defensive tu wala haikua order toka juu (Mbali na uhasama uliokuwepo, Buyoya alikua na tabia ya kwenda mpakani na kufanya mazungumzo tu ya kawaida na vijana wetu, tuseme walimzoea na pia alikua ni mwanajeshi, ingawa every time alipokuwa akienda alikua heavily guarded). Hali hiyo ilimchanganya kabisa Buyoya akajikuta yupo at the cross road, hakuwa na ujasiri wa kumvaa Mkapa (Mkapa hakua mtu wa kuingilika kijinga) akalazimika kupitia kwa Nyerere.
Yaliyobaki na yaliyofuata ni historia. Hiyo ndiyo ilikua Tanzania ya Watanzania.
Tanzania ya sasa ikikumbwa na jaribu lolote naomba nisiwe mtabiri. Lakini ukiniuliza Tanzania hii na ile nitakwambia bila kupepesa kuwa never put your miney on this Tanzania.
Umeharibu pale ulipomalizia uzi wako na malawama. Yaani umeboa balaa Mkuu...Ni Maj.Gen.Benjamin "Ben" Msuya wakati huo akiwa na cheo cha Lt.Col.
Ndiye aliyeongoza kikosi vya JWTZ kilichotwaa jiji la Kampala.
Huyu ndiye aliyelazimika kulidhibiti jiji la Kampala na Ikulu ya Uganda wakati akisubiri kuwasili Raisi mpya wa Uganda, Prof.Yussuf Kironde Lul
Watanzania hatuna habari na shujaa huyu, lakini gazeti la Monitor la Uganda walimtafuta na kufanya naye mahojiano.
Soma hapa chini.
Chanzo: Musuya: The Tanzanian general-- who ruled Uganda for three days - Special Reports
cc Manyerere Jackton, Pasco, Ben Saanane, ZeMarcopolo, Mag3, Chademakwanza, Mzee Mwanakijiji, Echolima, Nguruvi3, Ritz
Umeharibu pale ulipomalizia uzi wako na malawama. Yaani umeboa balaa Mkuu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku moja kabla vijana hawaja jivinjari Mkuu wa Majeshi wakati ule (Kama sikosei Mboma?) alikwenda kukagua hali ya mpaka. Mwisho wa Ziara akasema hali ya mpaka ni shwari hakuna tatizo na anaondoka kwenda nyumbani kwake kwa mapumziko. Usiku vijana wakafanya yao. Ilikuwa JWT au TPDFHii kitu acha kabisa. Nakumbuka ilikua ni kipindi cha rais Mkapa, rais hakutaka kujishughulisha na zile chokochoko huvyo akawaambia vijana wafanye wanachoona kinafaa ndani ya muda sahihi.
Burundi walifanya sana chokochoko, mpaka askari wa mpakani wakaamua kujibu ingawa kwa umakini sana.
Baada ya kujibu mapigo, Buyoya alilalamika kuwa majeshi ya Tanzania yamevamia kambi za kijeshi nchini Burundi na kuua askari wao. BBC nao wakaitangaza sana hii habari lakini ushahidi ulikosekana.
Kilichotokea:
Ni kweli vijana wa Tanzania waliingia Burundi na kuvamia kambi zilikua zinatumika kuandaa mpango vita dhudi ya Tanzania, vijana waliua askari wakateka na silaha kadhaa na zile maiti waliondoka nazo hivyo na kufuta kila aina ya ushahidi utakaothibitisha uvamizi.
Buyoya alilalamika sana na BBC wakaitangaza sana. Lakini haikuthibitika.
Issue ikaingia hadi bungeni, Kikwete ambaye back then alikua waziri wa mambo ya nje akasikika akiongea bungeni kuwa "wakipiga risasi mbili, sisi tutajibu saba".
Nakumbuka safari hii vijana walisali kabisa ili wasikie angalau mlio wa pancha ya gari au baiskeli ili wasingizie risasi na wao waingie kazini. Sara zao zikajibiwa, kwani Buyoya aliingiza majeshi yake ndani ya umbali ambao kisheria inahesabika kuwa ni uvamizi dhudi ya nchi nyingine, ingawa bado ilikua ni nchini mwake.
Hali ya hewa usiku ule ilikua ni ya ukungu fulani hivi na giza nene, hali hiyo vijana waliitumia kama camouflage/concealment kuingia ndani ya Burundi na maeneo yake muhimu. Kulipopambazuka tayari the heart of Burundi ilikua kwenye viganja vya vijana. Kumbuka maneuver inafanyika huku nchini hakuna tena anayeongelea swala hilo hata watanzania wanalisikia tu kupitia BBC huku vyombo vya ndani vikiwa kimya, viongozi nao kimya.
Buyoya akawa amechanga nyikiwa maana alihakikishiwa kuwa maneuver ile ilifanywa na vija kama defensive tu wala haikua order toka juu (Mbali na uhasama uliokuwepo, Buyoya alikua na tabia ya kwenda mpakani na kufanya mazungumzo tu ya kawaida na vijana wetu, tuseme walimzoea na pia alikua ni mwanajeshi, ingawa every time alipokuwa akienda alikua heavily guarded). Hali hiyo ilimchanganya kabisa Buyoya akajikuta yupo at the cross road, hakuwa na ujasiri wa kumvaa Mkapa (Mkapa hakua mtu wa kuingilika kijinga) akalazimika kupitia kwa Nyerere.
Yaliyobaki na yaliyofuata ni historia. Hiyo ndiyo ilikua Tanzania ya Watanzania.
Tanzania ya sasa ikikumbwa na jaribu lolote naomba nisiwe mtabiri. Lakini ukiniuliza Tanzania hii na ile nitakwambia bila kupepesa kuwa never put your money on this Tanzania.
Mkuu Project imefikia wapi..Nakusanya taarifa za Lt.Gen.Imran Kombe, Maj.Gen.Muhidin Kimario, na Brig.Ahmed Kitete na michango yao ktk vita vya Kagera.
Mkuu Project imefikia wapi
Ahsante sana ulimtendea haki Maj Gen Msuya. Pumzika kwa amani shujaa
Yes niliusoma. Nilidhani unafanya 'compilation ' ya wote ...Brig.Ahmed Takadiri Kitete " kamanda super sonic " alikuwa hajulikani nimemuanzishia uzi hapa JF.