Ben Paul agombana na mwandishi wa EATV, baada ya kubanwa kuhusu habari za 'shemeji'

Ben Paul agombana na mwandishi wa EATV, baada ya kubanwa kuhusu habari za 'shemeji'

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
1,817
Reaction score
4,061

Ben Paul ali loose cool baada ya mwandishi kumuuliza kuhusu habari za mpenzi wake na mtoto wake ila Ben Paul hakutaka kuyazungumzia na kutaka aulizwe kuhusu mambo ya kazi zake za music, mwandishi huyo aliendelea kumkazia ndipo jamaa akacharuka na kuanza kugombana nae.

Ben Paul nae hataki kiki kama za Diamond?? Maana ndio vinavyowaongezea umaarufu kubadilisha mademu maarufu, kutupia picha za familia na habari za familia instagram
 

Ben Paul ali loose cool baada ya mwandishi kumuuliza kuhusu habari za mpenzi wake na mtoto wake ila Ben Paul hakutaka kuyazungumzia na kutaka aulizwe kuhusu mambo ya kazi zake za music, mwandishi huyo aliendelea kumkazia ndipo jamaa akacharuka na kuanza kugombana nae.

Ben Paul nae hataki kiki kama za Diamond?? Maana ndio vinavyowaongezea umaarufu kubadilisha mademu maarufu, kutupia picha za familia na habari za familia instagram

Pata Picha kama Interview hii angefanyiwa Dudubaya?
 
Eboooo huyo Mwandishi alijua kila Mwanamuziki bongo ana akili mbovu kama wale wa Madale.

Wenyewe kila kitu kuweka kwenye Media.
 
Mbona alivyopiga denda na snura fiesta kila akitafutwa alikuwa anafunguka na kuelezea mkewe alijisikiaje! Na wengine walimtafuta na mke wake wakawa wanamhoji kuhusu hizo issue kama wanaishije!
Kwanini hakupanic?
Leo ndio hataki kuhojiwa!
 
saaaafi saaaana ben paul kakua.... kwanza jamaa kamvumilia saaaana huyo mwandishi... ningekuw mimi angestukia [emoji117][emoji117][emoji117]
 
Ajirushe insta nani anamjua? Kazi ataishia hapo alipo kumuongelea D etc hamfikiiiiiii.
Anasema familia wakati pesa wanaingiza pesa. Hasira sababu ya wivu hana familia, hajatulia.
 
Back
Top Bottom