Ben Paul akila bata ughaibuni

Ben Paul akila bata ughaibuni

Kitendo cha kutua tu ardhi ya ughaibuni ni bata tosha[emoji56]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa mkuu.
Kuna watu kibao nawafahamu wanaogopa kurudi Tanzania kwakuwa wanatupia maisha wakiwa kwenye madaraja watu wanasema wanakula bata kumbe hawana kitu sasa wanawaza watarudi vipi huku miaka inaenda hadi wazazi wao wamefariki lakini hawaji
 
Kweli kabisa mkuu.
Kuna watu kibao nawafahamu wanaogopa kurudi Tanzania kwakuwa wanatupia maisha wakiwa kwenye madaraja watu wanasema wanakula bata kumbe hawana kitu sasa wanawaza watarudi vipi huku miaka inaenda hadi wazazi wao wamefariki lakini hawaji
Ndo hivyo, ukienda mbele ukarudi bongo kibwege lazima uchekwe. Labda tumuulize warumi huyo Ben Pol alikuwa anakula bata gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo hivyo, ukienda mbele ukarudi bongo kibwege lazima uchekwe. Labda tumuulize warumi huyo Ben Pol alikuwa anakula bata gani

Sent using Jamii Forums mobile app

Definition ya kula bata , ni kusafir nchi za watu for gallivanting , sio kikazi au kusoma au kuzamia, Hao hawali bata sana kama watu wanaoenda siku mbili au tatu kutembea ughaibuni. Ila wabeba mabox wengi cha moto wanakionaga


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mmh naona ben Paul siku hizi mambo yake super , anakula bata ughaibuni ( sio show) kama Hana akili nzuri . Huenda msanii huyo ndiye anayoongoza kwa kula bata expensive kwenye msimu huu wa Christmas na mwaka Mpya kuliko mastaa wengine wote. Haijakulikana mpaka sasa hivi jeuri ya pesa za kupanda first class emirate na safari zake za dubai , Paris , Germany , UK bila kufanya show anapata wapi pesa, na sasa hvi a nakwambia Ana kama trip tatu za kumalizia bata lake la mwaka 2018.

Naona ben Paul amepokea kijiti cha ommy dimpoz.

Sema Ben Paul hilo danga ulilolipata usiliache wala nn, ikiwezekana kamroge kabisa 🤣🤣
dd00e5617b306068afb49af01ca8e720.jpg



Sent from my iPhone using JamiiForums
Kusimama kwenye jengo na kupiga picha ndio kula bata?
 
Back
Top Bottom