Kweli kabisa mkuu.
Ndo hivyo, ukienda mbele ukarudi bongo kibwege lazima uchekwe. Labda tumuulize warumi huyo Ben Pol alikuwa anakula bata ganiKweli kabisa mkuu.
Kuna watu kibao nawafahamu wanaogopa kurudi Tanzania kwakuwa wanatupia maisha wakiwa kwenye madaraja watu wanasema wanakula bata kumbe hawana kitu sasa wanawaza watarudi vipi huku miaka inaenda hadi wazazi wao wamefariki lakini hawaji
Ben siku hizi sidhani kama kimziki anafanya vizuri kama zamani lakiniNdo hivyo, ukienda mbele ukarudi bongo kibwege lazima uchekwe. Labda tumuulize warumi huyo Ben Pol alikuwa anakula bata gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Anafanya makiki na kina ebitokeBen siku hizi sidhani kama kimziki anafanya vizuri kama zamani lakini
Ndo hivyo, ukienda mbele ukarudi bongo kibwege lazima uchekwe. Labda tumuulize warumi huyo Ben Pol alikuwa anakula bata gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusimama kwenye jengo na kupiga picha ndio kula bata?Mmh naona ben Paul siku hizi mambo yake super , anakula bata ughaibuni ( sio show) kama Hana akili nzuri . Huenda msanii huyo ndiye anayoongoza kwa kula bata expensive kwenye msimu huu wa Christmas na mwaka Mpya kuliko mastaa wengine wote. Haijakulikana mpaka sasa hivi jeuri ya pesa za kupanda first class emirate na safari zake za dubai , Paris , Germany , UK bila kufanya show anapata wapi pesa, na sasa hvi a nakwambia Ana kama trip tatu za kumalizia bata lake la mwaka 2018.
Naona ben Paul amepokea kijiti cha ommy dimpoz.
Sema Ben Paul hilo danga ulilolipata usiliache wala nn, ikiwezekana kamroge kabisa 🤣🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji16][emoji16][emoji16]Kwan unanioa niwe housegirl au ? Mxiew , kwanza Mimi kupika sijui , huduma nyingine utapat Ila kupika sahau
Sent from my iPhone using JamiiForums