Ben Pol amshukia Ali Kiba

7 ndo nan mkuu
Christine Mosha aka Seven... dada mmoja hivi full uzungu na ndio maana anashindwa kuendana na game la sasa ambalo ndani yake ni full uswahili! Huyu Seven nadhani ndo ana-deal na talents acquisition kwenye kampuni ya Rockstar4000 Entertainment ambayo ipo South Africa wakishirikiana na Sony Music! Ni kampuni kubwa lakini at least kwa Tanzania, wameshindwa vibaya sana manake kuna wakati walim-recruit Rose Mhando vile vile.... sijui na yeye kafia wapi!
 
Asante chige.hili tatizo la kiba hapa kijiweni nimeshabishana na watu kuwa taitizo la kiba ni mashabiki.na mawazo yangu yote nilitegemea video ya kiba ingetoka mapema kabla ya audio ila imekuwa kinyume.hakuna kitu kibaya kama kufanya kazi kwa presha
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na Ben kusema ukweli bado naaamini hata yeye si mtu makini bali ni mkurupukaji kabisa!

Bado najiuliza kuwa kulikuwa na ulazima wa Ben pol kusema hayo?

Najiuliza Ben pol aliona hiyo ndio njia sahihi kabisa kufikisha ujumbe?

Bado najiuliza Ben pol anafikiri ametatua jambo au hilo ni suluhu?

Mimi naamini kabisa njia iliyotumika si sahihi kabisa na ni moja ya njia ya kijinga na ya kipumbavu kabisa...uwezo kumsaidia msanii mwezio kwa kumwandika twitter..!

Ben pol alitakiwa kujua kuwa njia atakayotumia itabomoa badala ya kujenga ...Ben pol amezalisha kitu kingine ambacho pengine kilikuwa hakina msingi..Ben pol alikuwa ana uwezo wa kukutana na Alikiba au kumpigia simu na kumshauri na bila shaka huwa wana ongea kabisa!

Kwa stuation ya mziki na mazingira tuliyo nayo ni kuzalisha mambo mengine ambayo watu wengi hatupendi kusikia...sasa kila leo tutaanza kusikia wakiulizwa maswali kuwa una tatizo na fulani na hapa ndipo mashabiki huchonganishwa sasa....

Kumpa ushauri mtu kupitia social media hasa ukiwa msanii mwenzake ambaye waweza kuwasiliana nae au kukutana nae hakuwezi kutafsiriwa kuwa ni lengo jema!

Alikiba ana matatizo sana kwenye muziki wake na nilisha sema toka mwanzo kuwa tatizo ni management zaidi!

Njia aliyotumia Ben pol si nzuri japo pengine ameongea iliyo kweli... katika hili Ben amekosea njia ya kutuma ujume na kamwe haijengi bali ina haribu...!
 
Mkuu Ruttashobolwa Salaam!!

Kuhusu message delivery ya Ben Pol hata mimi imenishangaza kidogo na ndio maana nikajiepusha kuleta ushabiki! Hata hivyo, niliamua kukaa kimya kv sijawahi kufuatilia mawasiliano ya Ben Pol na Kiba huwa yanakuwa kuwa vp kwenye social networks! Nikahisi huenda ni washikaji fulani hivi ambao hawaoni taabu kuchanana hadharani! Mtu kama Nay wa Mitego anaweza akawasilisha ujumbe kama huo dhidi ya Diamond kiutani utani kupitia social networks kumbe akawa ndo anamaanisha! Mawasiliano yao kwenye social networks na hata kazi zao yanasadifu hilo lakini huyu Ben Pol na Kiba, labda wadau wanaweza kutujuza manake hata ukiiangalia hiyo tweet ya Ben dizaini kama imekaa kimasihara flani hivi lakini ndo keshamaanisha!!!
 
Last edited by a moderator:
Asante chige.hili tatizo la kiba hapa kijiweni nimeshabishana na watu kuwa taitizo la kiba ni mashabiki.na mawazo yangu yote nilitegemea video ya kiba ingetoka mapema kabla ya audio ila imekuwa kinyume.hakuna kitu kibaya kama kufanya kazi kwa presha
Kwenye suala la video ni kama Kiba na management yake hawajaona umuhimu wa kuanza na video au kuzindua video na audio kwa wakati mmoja! Yaani Seven ingawaje ni mjanja fulani lakini bado hajafahamu kwamba hakuna formal social networks za audios ambako wadau watakutana sehemu moja na kuanza kujadili ngoma iliyoachiwa! Wakati hilo hajafahamu; ni kama pia hawajafahamu kwamba Youtube ni social network ya videos ambako wadau watakutana na kujadili release husika na hivyo kuendelea kutoa kick ya msanii na kazi yake!
 
Kama huwa wana mazoea kama ya D na Ney hapo sawa ..lakini nikiangalia tweet ya jokate napata picha kuwa ujumbe haujapokelewa kiutani....lakini sikuwai kufikiri kama Ben Pol na Ali wana utani kama wa D na Ney....! Pengine wameanzia mbali..!
 
Last edited by a moderator:
Vyovyote itavyokua.. Mimi binafsi naona Ben kamsaidia sana Kiba.
Kiba ni jeuri , kiburi na habadiliki. Mtu kama huyu ili ashaurike inabidi nawe ujitie uchizi.
BIG UP BEN.

Hofu yangu tu ni mashabiki kande yataanza bifu na Ben bila sababu.
Kama huwa wana mazoea kama ya D na Ney hapo sawa ..lakini nikiangalia tweet ya jokate napata picha kuwa ujumbe haujapokelewa kiutani....lakini sikuwai kufikiri kama Ben Pol na Ali wana utani kama wa D na Ney....! Pengine wameanzia mbali..!
 
haina noma ndugu nimekusoma. me naamini mambo yatabadilika tu.
 
Kama huwa wana mazoea kama ya D na Ney hapo sawa ..lakini nikiangalia tweet ya jokate napata picha kuwa ujumbe haujapokelewa kiutani....lakini sikuwai kufikiri kama Ben Pol na Ali wana utani kama wa D na Ney....! Pengine wameanzia mbali..!
Sijaiona tweet ya Jokate lakini hata tweet ya Kiba inaonesha ni kama hakupendezwa na tweet ya Ben
 
Fanyeni kampeni insta na twiter tengenezeni hashtag mkiweza kupata post mia 40 mta trend na lazima ashtuke. Kama mnampenda msaidieni 7 aliwapoteza nakaya na rose mhando yeye yupo bize na ishu zake nyie mnapata presha.

Kavaa miwani ya mbao huyo wacha hali halisi itamstua
 
Vyovyote itavyokua.. Mimi binafsi naona Ben kamsaidia sana Kiba.
Kiba ni jeuri , kiburi na habadiliki. Mtu kama huyu ili ashaurike inabidi nawe ujitie uchizi.
BIG UP BEN.

Hofu yangu tu ni mashabiki kande yataanza bifu na Ben bila sababu.
Tena nimegundua Ben Pol ni jasiri sana... unajua Waswahili tushazoea unafiki! Kwa kawaida ni haters ndio wanaweza kukupa makavu namna hiyo lakini ninavyomuona Ben wala haoneshi kuwa na chuki yoyote kwa Kiba zaidi ya kumfikishia ujumbe!!
 
Vyovyote itavyokua.. Mimi binafsi naona Ben kamsaidia sana Kiba.
Kiba ni jeuri , kiburi na habadiliki. Mtu kama huyu ili ashaurike inabidi nawe ujitie uchizi.
BIG UP BEN.

Hofu yangu tu ni mashabiki kande yataanza bifu na Ben bila sababu.
Hapo kwenye mashabiki ndiko kuliko nifanya kuamini njia aliyotumia sio sahihi... maana nimeona mashabiki wa kiba wamevamia ukurasa wa Ben na kumtukana sana...
 
haina noma ndugu nimekusoma. me naamini mambo yatabadilika tu.
Kwenye mwana tulisema atabadilika
Kwenye chekecha tulisema atabadilika
Kweny nagharamia tulisema atabadilika
Na leo wasema atabadilika the_name umesahau sikio la kufa
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwenye mashabiki ndiko kuliko nifanya kuamini njia aliyotumia sio sahihi... maana nimeona mashabiki wa kiba wamevamia ukurasa wa Ben na kumtukana sana...

Hivo ndo kama kawaida yao.Ni mituc tu kwa kwenda mbele.B Po. hajiangalie sana,Nadhan till now washaanza mituc yao.Although Kiba hajamtuc B.Tatizo li kwa mafwansi wake.Mfanio tu kwa D walivomtusi kipnd kile.
 
Kwenye mwana tulisema atabadilika
Kwenye chekecha tulisema atabadilika
Kweny nagharamia tulisema atabadilika
Na leo wasema atabadilika the_name umesahau sikio la kufa
umeongea point ila ishu inakuja kwenye magement yake. me naamini watakuwa wamejifunza kuhusu hili jambo.

kuhusu video ya nagharamia Bella nae angejibu sababu alisema hatatoa audio mpaka video iwe tayari
 
Last edited by a moderator:
umeongea point ila ishu inakuja kwenye magement yake. me naamini watakuwa wamejifunza kuhusu hili jambo.

kuhusu video ya nagharamia Bella nae angejibu sababu alisema hatatoa audio mpaka video iwe tayari
Bella hawezi muhangaikia kiba tena.
Nadhani hata yeye ashachoka kumsisitozia umuhimu wa video ya nagharamia..bella sa hv ametarget video yake na koffi
 
Bella hawezi muhangaikia kiba tena.
Nadhani hata yeye ashachoka kumsisitozia umuhimu wa video ya nagharamia..bella sa hv ametarget video yake na koffi
KAFA.cOm kuna tatizo hapo. nowdays mziki ushindani upo kwenye good videos.

napenda kuona Kiba anafanya vizuri zaidi
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…