Ben Pol: Harmonize, Sheta na Caligraph Jones wanamtongoza mpenzi wangu DM

Kwani huyo mmakonde ana net worth dollar ngapi?
 
Hao ni wajinga
 
Hata angekuwa trilionea.. Kwa ule muonekano wake abaki na Sara Mzungu tu
 
Kama wewe ulimpa akasuuza rungu tafadhali usitusemee na sie wengine,,, tatizo lenu mnaamini wanawake wote tunababaika na umaarufu,,, domo kwa mtu km mimi na umaskini wote nilionao namkataa kilaini kabisa bila kushtuka
Kwanza hata ukitokewa na Domo utahisi kudhalilishwa. Utajiuliza hivi huyu ananichukuliaje mimi. Kuna wanaume wana pesa na maarufu lakini mwanamke unajua kabisa hii takataka stahiki yake ni wanawake wasiojielewa kama kina Mobeito, Sepetunga
 
Kwanza hata ukitokewa na Domo utahisi kudhalilishwa. Utajiuliza hivi huyu ananichukuliaje mimi. Kuna wanaume wana pesa na maarufu lakini mwanamke unajua kabisa hii takataka stahiki yake ni wanawake wasiojielewa kama kina Mobeito, Sepetunga
Msenge wewe
 
daa mkuu hatari wenye sura mbovu mnadudisi hivi
 
Hivi wewe unautani hiyo pesa hawezi kulipwa msanii yoyote bongo mzee wasanii wenyew hawa hata viwanja wanaishia kuulizia ndo useme wanalipwa billion kwa nyimbo moja
 
Hivi wewe unautani hiyo pesa hawezi kulipwa msanii yoyote bongo mzee wasanii wenyew hawa hata viwanja wanaishia kuulizia ndo useme wanalipwa billion kwa nyimbo moja
Uliza YouTube watakupa habar kamili, dogo anapiga hela kama hana akli vizur
 
Hivi wewe unautani hiyo pesa hawezi kulipwa msanii yoyote bongo mzee wasanii wenyew hawa hata viwanja wanaishia kuulizia ndo useme wanalipwa billion kwa nyimbo moja
Billions sio buku jero.
 
Kizuri kula na nduguyo. Hataki demu wake atongozwe anadhani akina Harmonize wao watat0mbã wapi? Atulie tu, aache kuwabania wenzake.
 
Uuuuwiiiiiii!!! Ngachoka mimi[emoji32][emoji32][emoji32]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…