Ben Pol: Harmonize, Sheta na Caligraph Jones wanamtongoza mpenzi wangu DM

Ben Pol: Harmonize, Sheta na Caligraph Jones wanamtongoza mpenzi wangu DM

Kwani anerlisa ana nini haswa? Kwa matangazo hayo sasa na mimi nataka kumtongoza.
 
Kama ndio huyu basi nimesitisha kutaka kumtongoza.
1120336



1120334


1120335


1120337
 
We jamaa ni muongo wewe, hivi unajua East Africa ni Kenya, Uganda na Tanzania.....

Huyu mmakonde ambaye hata nyumba yake haijaisha unataka umuweke meza moja na akina Jaguar...

Alaf Harmonize naye ajiheshimu bama, hivi kwa sura ile kama andazi lililo chacha ndo anataka aingie meza moja na Ben Pol. Saiz yake ni huyohuyo Sarah wanyefanana sura
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
'Nampenda sana Ben pol, kila mwanamke anayekuwa nae inaniuma'

Alisikika Ebitoke

Ben pol aache kujistukia,kama mwanamke wake yupo loyal hana haja ya kutaja watu wanaomtaka huyo mwanamke
 
Harmonize ana pesa kumzidi anerlisa hili halina ubishi sasa labda anamtaka ili aoshe rungu tu ama ni kiki inatengenezwa harmonize na Ben paul ni washikaji sanaaaa.

Alafu khaligraphy jones sizani kama anaweza fanya hivyo hii nahisi ni kiki.


Ila huyu andunje shetta nina mashaka nae anaweza kuwa kamtaka kweli

BTW Ben paul kapotea kwenye game hakuna anaemzungumzia hana lolote sasa hivi hii nahisi ni KIKI

Unamjua vizur anerlisa? Et harmonize anamzid annerlisa kwa pesa, mxieew uongo tu
 
Usimsemee huyo ana sijui nani ndugu yangu,Binadamu hasa wa kike hana dhamana.Unapodhani hao umewachambua na kuwakosoa kwa ubovu wao,mwanamke anaweza kuwapendea huo ubovu uliorodhesha hapo juu.
 
Harmonize ana pesa kumzidi anerlisa hili halina ubishi sasa labda anamtaka ili aoshe rungu tu ama ni kiki inatengenezwa harmonize na Ben paul ni washikaji sanaaaa.

Alafu khaligraphy jones sizani kama anaweza fanya hivyo hii nahisi ni kiki.


Ila huyu andunje shetta nina mashaka nae anaweza kuwa kamtaka kweli

BTW Ben paul kapotea kwenye game hakuna anaemzungumzia hana lolote sasa hivi hii nahisi ni KIKI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] what a joke
 
Sidhani Anerlisa pamoja na pesa zake anapenda life la low profile kwa Diamond yeye Ni mtu wa matangazo hawata wezana
Diamond anauwezo wa kumkaza demu yeyote maarufu na asiye maarufu Afrika mashariki na kati hata walioolewa.
 
Diamond anauwezo wa kumkaza demu yeyote maarufu na asiye maarufu Afrika mashariki na kati hata walioolewa.
Not really..
I beleive hapa umeteleza,demu yyte ina maana hata aiater zako, cousins, friends hata girlfriends wako.
 
Unamjua vizur anerlisa? Et harmonize anamzid annerlisa kwa pesa, mxieew uongo tu
Mimi ndiye nakwambia sasa harmo ana pesa kumzidi, yani anerlisa akitaka kufanyiwa show na harmo Nairobi au popote anafirisika.

alafu bado kumbe hujajifunza hizo lugha zako za kejeli bado unazo sasa endelea tutarudi kulekule
 
Not really..
I beleive hapa umeteleza,demu yyte ina maana hata aiater zako, cousins, friends hata girlfriends wako.
Rooney, unaweza kudhani kama utani diamond kukaza wanawake wote pasi na shida yoyote ila ndio uhalisia.

Makapuku hawa wote anamega pruuu wote kama huyu warumi anakaza mpaka jicho, wale angalau wenye pesa nao anakaza wanataka umaarufu fulani kujulikana, kuzungumziwa n.k

Narudia tena hakuna wakumkataa si kwa sababu ana sura nzuri au mbaya bali umaarufu wake na pesa zake
 
'Nampenda sana Ben pol, kila mwanamke anayekuwa nae inaniuma'

Alisikika Ebitoke

Ben pol aache kujistukia,kama mwanamke wake yupo loyal hana haja ya kutaja watu wanaomtaka huyo mwanamke
Na waliokula vipi? Au mitongozo yote inaishia hewani?
 
Back
Top Bottom