Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wagogo Tunakwama WapiBen pol bana mchizi huwa amekaa kidwanzi dwanzi sana kama masanja yaan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa ni muongo wewe, hivi unajua East Africa ni Kenya, Uganda na Tanzania.....
Huyu mmakonde ambaye hata nyumba yake haijaisha unataka umuweke meza moja na akina Jaguar...
Alaf Harmonize naye ajiheshimu bama, hivi kwa sura ile kama andazi lililo chacha ndo anataka aingie meza moja na Ben Pol. Saiz yake ni huyohuyo Sarah wanyefanana sura
Hivi unaishije na dame asiyetongozwa,?
Harmonize ana pesa kumzidi anerlisa hili halina ubishi sasa labda anamtaka ili aoshe rungu tu ama ni kiki inatengenezwa harmonize na Ben paul ni washikaji sanaaaa.
Alafu khaligraphy jones sizani kama anaweza fanya hivyo hii nahisi ni kiki.
Ila huyu andunje shetta nina mashaka nae anaweza kuwa kamtaka kweli
BTW Ben paul kapotea kwenye game hakuna anaemzungumzia hana lolote sasa hivi hii nahisi ni KIKI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] what a jokeHarmonize ana pesa kumzidi anerlisa hili halina ubishi sasa labda anamtaka ili aoshe rungu tu ama ni kiki inatengenezwa harmonize na Ben paul ni washikaji sanaaaa.
Alafu khaligraphy jones sizani kama anaweza fanya hivyo hii nahisi ni kiki.
Ila huyu andunje shetta nina mashaka nae anaweza kuwa kamtaka kweli
BTW Ben paul kapotea kwenye game hakuna anaemzungumzia hana lolote sasa hivi hii nahisi ni KIKI
Sidhani Anerlisa pamoja na pesa zake anapenda life la low profile kwa Diamond yeye Ni mtu wa matangazo hawata wezanaMwanaume pekee anayeweza kumtoa benpol kwa annerlisa ni domo peke yake[emoji6]
Can you prove me wrong?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] what a joke
Diamond anauwezo wa kumkaza demu yeyote maarufu na asiye maarufu Afrika mashariki na kati hata walioolewa.Sidhani Anerlisa pamoja na pesa zake anapenda life la low profile kwa Diamond yeye Ni mtu wa matangazo hawata wezana
No i wont.Can you prove me wrong?
Not really..Diamond anauwezo wa kumkaza demu yeyote maarufu na asiye maarufu Afrika mashariki na kati hata walioolewa.
Mimi ndiye nakwambia sasa harmo ana pesa kumzidi, yani anerlisa akitaka kufanyiwa show na harmo Nairobi au popote anafirisika.Unamjua vizur anerlisa? Et harmonize anamzid annerlisa kwa pesa, mxieew uongo tu
Rooney, unaweza kudhani kama utani diamond kukaza wanawake wote pasi na shida yoyote ila ndio uhalisia.Not really..
I beleive hapa umeteleza,demu yyte ina maana hata aiater zako, cousins, friends hata girlfriends wako.
Na waliokula vipi? Au mitongozo yote inaishia hewani?'Nampenda sana Ben pol, kila mwanamke anayekuwa nae inaniuma'
Alisikika Ebitoke
Ben pol aache kujistukia,kama mwanamke wake yupo loyal hana haja ya kutaja watu wanaomtaka huyo mwanamke