Ben Pol: Nilichokilenga kimefanikiwa

ndo mjini tunavoishi ndugu..ila tuwape mudaa..kwan bongo muvi wako wapi sasa bwanah
kuna watu ambao wmezoea kufanya hivyo na wangefanya wao hata tusingeshituka ben pol ndo mtu pekee ambaye jamii ilimtegemea kama kiyoo bora kwa watoto na wakubwa ndio maana watu wamereact vibaya...
 

Du! ama kweli akili ni nywele! vp yale mafuta alipakwa na nani?
 
Ameshawaelewesha BASATA, maana wao ndio walikuwa wanamtafuta hawakumuelewa.
 
Ifikie mahali tuukubali u-Africa wetu mkuu hayo ya wenzetu tuyaache...hivi wewe kweli unaweza kusaula nguo zote ukabaki uchi wa mnyama na ukakubali kukaa mbele ya mwanaume mwenzako akupige picha?na sijui alijipaka mafuta maana mwili wake una kama mng'ao kitu kinachotisha zaidi maana binaadamu wameumbiwa tamaa alompigay picha angeweza kuona tamaa akasababisha balaa.
 
ni vizuri kuukubali uafrika wetu lakini haimaanishi tuishi enzi za wahenga. kuna baya gani lililfanyika hapo?
 
Sasa wimbo wakutekwa ndo apake mafuta ili ngozi iwe nyororo kama makahaba wa Kaumba Morogoro?

Si angeomba maninja wampige bakora na wamchane viwembe iwe na uhalisia?
 
ni vizuri kuukubali uafrika wetu lakini haimaanishi tuishi enzi za wahenga. kuna baya gani lililfanyika hapo?
Mtoto wa kiume aliekamilika hata kama ni kwenye kazi yenye manufaa na maslahi kiasi gani haezi fanya vile,kwanini avue nguo zote ajipake mafuta mwilini ni kusema kwamba kina Roma walipakwa mafuta?basi kama Roma alipakwa mafuta vile inanipa ukakasi kwamba walifanywa kitu kibaya sana na amefanya ili kumdhalilisha mwenzake.
 
kazi ya sanaa ni ngumu, si rahisi kama unavyofikiria wewe. Bila ubunifu hakuna sanaa.
 

hahahahaha kwahiyo amelipwa au
 
Je akitaka kutoa wimbo wa mashoga lazma agongwe? Mhhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…