chrispaulas son
Member
- Sep 18, 2016
- 48
- 28
kuna watu ambao wmezoea kufanya hivyo na wangefanya wao hata tusingeshituka ben pol ndo mtu pekee ambaye jamii ilimtegemea kama kiyoo bora kwa watoto na wakubwa ndio maana watu wamereact vibaya...ndo mjini tunavoishi ndugu..ila tuwape mudaa..kwan bongo muvi wako wapi sasa bwanah