severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,402
Duuu so sad!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laiti kama alisoma ulichosema na akatekeleza kisha akakutwa na yalomkuta nini msaada wako? Tz bana!Mmmmmmhhhh. Hatareeee.
Pole mkuu. Mungu atawaumbua tu miungu watu hawa siku moja.
Usirudi nyuma.
daa maneno yenye kuumiza sana pale unapo kaa chini na kuyatafakari kwa makini..Damu za wasio na hatia zikimwagika shambani Hakuna zao lolote litaota kwenye ardhi hio,na nchi ugeuka laana kwa kila kifanywacho uenda kombo
Sijui leo hii kama unakumbuka hii pumba uliyoandika?? Ni kwa akili kama zako ndio maana Tanzania ni nchi maskini sana licha ya kuwa na rasilimali... Tunakosa kabisa watu wenye reasoning na uwezo wa kuchanganua mambo ndio maana mnaongea lolote tu mnalojisikia bila kupiga hesabu ya impact yake kwa miaka 5 au 10 ijayo!!Bongo flavor za Kisiasa, Ben bado anajaribu kuuza Jina lake la Kisiasa nje ya Jamiiforums lakini bado hajafanikiwa. Uki log off JF ndio umem switch off Ben
Nina Amini BEN , yupo HAI nawaomba waheshimiwa msiojulikana mrudisheni aungane na familia yake , jamaa na marafiki. Adabu mliyompa inatosha . Asanteni Muumba awajalie wepesi
Sijui leo hii kama unakumbuka hii pumba uliyoandika?? Ni kwa akili kama zako ndio maana Tanzania ni nchi maskini sana licha ya kuwa na rasilimali... Tunakosa kabisa watu wenye reasoning na uwezo wa kuchanganua mambo ndio maana mnaongea lolote tu mnalojisikia bila kupiga hesabu ya impact yake kwa miaka 5 au 10 ijayo!!
Shame on you
Hivi Ben weee umeandika lipi lenye negative impacts kwa serikali ya Magu?
I think unatafuta umaarufu ambao ni cheap.
Halafu muuaji huwa hasemi,anakuweka kwenye tageti tu,mwisho wa siku tunasikia matanga.
Hivi wee kipindi kile unataka kumwekea Zitto sumu ulisema?
acha mambo yako.
Said Kubenea anaamini? Usiwe kama mbuni mkuu kufukia kichwa mchangani ilhali makalio yote yako nje.Said Kubenea Mbunge wa Ubungo wa Chama chako nae anaamini Ben yupo kijiweni kajificha apate kick ya Kisiasa
Makondale ni wewe ulishiriki kumuuwa Ben adhabu yako ipo hapa dunianiHalafu muuaji huwa hasemi,anakuweka kwenye tageti tu,mwisho wa siku tunasikia matanga.
Hivi wee kipindi kile unataka kumwekea Zitto sumu ulisema?
acha mambo yako.
Umeongea jambo la maana sana. Ni vizuri tukaanza kufikiria malipo kwa hawa watu.hivi huyo aliyempoteza Ben ina maana watoto wake wa kuwazaa anatembea nao saa zote mfukoni mwake? maana akumbuke kuna mtu mwenye akili kama zake naye anaweza kuja kuwapoteza one day!
Ben RIP Magufuli yeye anaona sawa tu kwa kupotea kwake ili mradi wanawe wanavimbiana kwa kodi zetuHivi Ben weee umeandika lipi lenye negative impacts kwa serikali ya Magu?
I think unatafuta umaarufu ambao ni cheap.
Hapa duniani kila moja yuko "Transit", either unaelekea pema au pabaya na haijalishi wewe ni nani, unaamini, huamini lkn huo ndio ukweli.
Mema na mabaya tunayofanya hapa duniani, malipo huanzia hapa hapa duniani.