Wangekuwa chadema sidhani kama wapenda sifa wangewaacha..... wangetafutia kiki ya kiua chadema. Unadhani wapate weakness kama hiyo alafu wabaki hivi. Kifo cha Akwelina tu wanapelekesha wao ijekuwa wao ndio wawe wamehusika na kifo alafu wabakishwe mtaani na wasivyopendwa na chama dola... unadhani wangesalimika kutoka kwenye mamlaka. Wangewekwa mahabusu kama wale mashekhe uhamsho.Na hatimae chadema wenyewe wamemzimisha ili kutengeneza mazingira ya lawm kwa wengine. Kama alikuwa na wtegemezi masikini ndio basi tena, loooooh. Pole Ben ten saakumi.
Wasingehusika watawala wangelala na Kubenea... wanajua kwamba amedanganya.....Said Kubenea alimuona akizunguka Kwenye vijiwe vya kahawa usiku na akaandika Kwenye gazeti lake.
Hawawezi kujichunguza mdau... wanazo hizo taarifa na wanajua kinachoendelea. Ila hawezi kugusa.. unataka na wao wapotezwe?Hivi kuitrack hiyo number imeshindikana? ?
Dah! Ukisoma hilo andiko unapata simanzi iliyopitiliza. Unaishia kusema malipo ni hapa hapa duniani. Waliofanya hivyo walivyofanya utafikiri wana hati ya kuishi milele na milele.
ukitumia app ya JF kila account inaonekana iko online hadi za waliofarikiHii Account ya Ben nani anaitumia kwa sasa? Mbona inaonekana online?
Moderators tusaidieni.
Maneno ya Ben yalikuwa ya kishujaa sana, his legacy will live forever....watawala wana la kujibu mbele ya Mwenyezi Mungu.
Amina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Data huwa hazipotei siku zaja watatrace tu.Hawawezi kujichunguza mdau... wanazo hizo taarifa na wanajua kinachoendelea. Ila hawezi kugusa.. unataka na wao wapotezwe?
Sent using Jamii Forums mobile app
id fake hizo labda tuwalete mossadHii namba ya voda sasa kapewa mrombo mwenzie Arikadi Kimario! tunataka tumjue mmiliki wa 2016!!!
Data huwa hazipotei siku zaja watatrace tu.
Yes, atakaechunguza ni yule ambae atataka kufukua makaburi... mfano kama tutakuwa na Rais ambae alikuwa anakerwa na mambo ya awamu ya 5 anaweza kurudi kwenye uchunguzi....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii dunia kuna watu wana roho mbaya aisee kwao kukutoa uhai ni kawaida tu hasa wanasiasa wetu wa kiafrika
Sent using Jamii Forums mobile app