Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amiiiiiiiiiiiiiin.miss u sana Ben!!! Aliekuficha,kupoteza,nae yampate kabla ya umri wake kustaafu.
LOoo, jameni, mbona hii mada huwa inajitokeza hapa mara kwa mara, kama kumbukumbu ya kutonesha 'donda ndugu'?
Si bora ingewekwa iwe ya kudumu (zilizogandishwa kama hizo nyingine hapo kwenye ukurasa huu huu!)
Mkuu Tutashinda, kauli huumba, na lisemwalo lipo kama halipo, linakuja!.Mtu huyu mwenye rekodi ya mwanamkakati wa Pm-7 alizaliwa 13/12/1983
From no where, jana nimetokea tuu kumkumbuka Ben Saanane, sikujua kwanini, hivyo nilipoamka nikaanza kupitia baadhi ya mabandiko humu ndipo nikakutana na bandiko hili la 2014, nilipolisoma ndipo nikagundua kumbe jana ndio tarehe ya kuzaliwa ya Ben Saanane.Japo mimi nina chama na sio Chadema, ila tukubali tukatae, ukiondoa mapungufu yake ya kibinaadamu, (hakuna binaadamu mkamilifu), Ben Saanane, is the type of leaders BAVICHA, should have had long ago, and had it been, he had been there, BAVICHA would not have been the same again, it would have been far far ahead, by now CCM ingekuwa bize kukusanya kusanya kilicho chake kupisha njia!.
Thanks.
Pasco.
DahKwa mambo haya ndio useme tusisherekee kusikia huyu ibilisi ana vuta? Lifie mbali liibilisi hili.