We kama ulishiriki jiandae mkungu ndo umeanza kuiva Mdogo MdogoLabda Mbowe muuaji wenu. Wengine watakufa kwa matatizo yao tu. Msisahau kumkumbusha kuwa ile sumu ilipangwa apewe Zitto bado inatembea kumrudia yeye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kama ulishiriki jiandae mkungu ndo umeanza kuiva Mdogo MdogoLabda Mbowe muuaji wenu. Wengine watakufa kwa matatizo yao tu. Msisahau kumkumbusha kuwa ile sumu ilipangwa apewe Zitto bado inatembea kumrudia yeye.
Sasa kama kajiteka mwenyewe miaka yote hiyo? Kaka angalia unachisema kabla ya kukisemaHuyu ben saa nane muongo kama viongozi wake wanataka kuanza kama enzi za akina zitto akiwa chadema yeye mwenyewe ben walikuwa wanajiteka halafu wanasema wametekwa.
Bado ni Hadi wote walioshiriki dhuluma waondoke ndipo mzimu wake utaondoka duniani,Soma zaidi kuhusu karma, Ghost, universe laws,laws of nature uyajue malimwengu.
Kifupi ukiuwa mtu asiye hatia ule mzimu wake unabakia duniani mpaka wote mlioshiriki kufanya dhuluma mfe ndipo mzimu huo utaondoka duniani.Thus wahusika wote wajiandae kuhesabiwa.
Wahusika wote watakufa hii ni laws of nature.
Sio KILA koo za kuchezea damu zao utoka na urudi na damu.Nakubali sana tego la ndizi...yaani mmoja mmoja anakatika.
Sio KILA koo za kuchezea damu zao utoka na urudi na damu.
Yani kisibaki hata kivuli cha mtu.Ben alikuwa anaenda kutunukiwa Phd mwaka huo huo aliotekwa na kuuwawa.......Kuhoji Elimu ndio unaua mtu? Naungana na Familia ya Mzee Focus wakatike wote walioshiriki kumuua Ben.
AmenBen na Azory
Waliofanya ukatili huo, watambue kuwa Mungu yupo, anawaona wakifanya unyama huo....mwisho kabisa na wao watarudi udongoni....full stop!
Funguka mkuu tusuuze hasira",..HUYU JAMAA ALIMMALIZA KWA BASTOLA YAKE MWENYEWE .....WASAIDIZI WAKALETA BODY BAG ...WAKAENDA KUMWAGIA ACIDI KAMA LUMUMBA ...KUNA SIMULIZI NYINGI NA ZA KUTISHA ........
Funguka kidogo mkuuKuhusu “simulizi nyingi za Lumumba”, ni kweli kabisa. Hata kuna mmojawapo humu alisema kuwa alitupwa kwenye nyumba/Banda la chatu. Kuna simulizi nyingi sana za kutisha kutoka kwa wana Lumumba. Hata Mwigulu alimuaminisha jamaa kuwa yeye ni best yake kabisa.[emoji2365]
AiseeBen aliyekutanguliza nasikia naye hoi...kashatanguliza mguu mmoja anataka kuja huko!! Akifika tu mpeni kalinye la maana!!
Watu mnamanenoAisee
Maneno kuntu haya Shekhe!!! Nachelea sema yametimiaMmmmmmhhhh. Hatareeee.
Pole mkuu. Mungu atawaumbua tu miungu watu hawa siku moja.
Usirudi nyuma.
Du!Safari inaendelea. Vitisho. Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku. Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko
Kuna watu hawa miongoni mwa wengi. Yeye anaandika "Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali hii utakipata. Kwa elimu na uwezo wako hatukutarajia ungefikia hatua ya ajabu kwa namna uliyofikia.
Hujiulizi kwanini upo huru hadi muda huu You are too young to die. Tunajua utaandika na hili. Andika lakini the next post hutaandika ukiwa na uhuru wa kutosha. Andika but your days are numbered. Unajua kuna rafiki yako alipuuza na hutaki kuandika kuhusu yeye labda kwa kuwa alitangulia. Andika Ben. Andika sana, ongea. Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"
He's such a coward. Muoga. Muaji anayejitangaza nae ana hofu tupu
Nimemshukuru lakini nimemjibu kwa namba yake hii 0768797982 ambayo ipo polisi.
Haya tunasonga mbele Watanzania. Kama ni Uchochezi sidhani kama upo uchochezi mkubwa zaidi ya huu.
As long as tupo hai, Sauti zetu hazitakoma. Tutaandika, Tutasema, Tutahutubia na tutafanya vitendo
Kitu kimoja tu cha hakika ni kuwa Damu ikimwagika hasa damu ya kimapinduzi hutoa mvuke utakaonyesha na kutiririsha mafuriko katikati ya mito na vijito vya haki. Kama itanyesha mvua ya Radi basi itaambatana na mwanga na cheche zitakazowamulika walaghai, watesaji, wakandamizaji wa hakiWatetezi wa haki watapata mwanga katikati ya giza tororo la Unyanyasaji, unafiki na ubakaji wa taaluma na dhamiri zao kitaaluma na kiimani.
Yesu Kristu aliishi miaka 33 tu duniania. Nina Mwaka Mmoja bado. He fought the right cause. Alikuja Duniani kimungu. Kila mtu anaishi kutokana na makusudi ya Mungu. Mwenyezi Mungu huruhusu kila jambo kwa makusudi yake. Sisi ni akina nani tukatae makusudi yake? Hatukujileta Duniani na hatutaishi milele.
Wasichojua watu hawa ni kuwa nilizaliwa na kubatizwa hatari siku hiyohiyo kama Mkatoliki. Ubatizo wa kifo(Hatari) 13 Desemba miaka hiyo, nikapona kwa fadhila zake Muumba. Nimepata fadhila sana Machoni pa Mwenyezi Mungu hadi muda huu. Wanajisumbua! Nimeishi beyond that favour
Oh nakupenda mpenzi wangu Tanzania. I love you more than words can wield the matter, dearer than eyesight, space and Liberty. Oh I love you Tanzania. My Pride, My fountain of inspiration."
Mlale salama marafiki zangu wapendwa.
Mapambano na Yaendelee, Ushindi U Dhahiiri (Aluta Continua, Victory Ascerta)
Pumzika kwa amani Rafiki yangu kipenzi Alphonce Mawazo. Hukukopa, Ulijiandaa kulipa gharama. Ukalipa Deni. Tunasonga Mbele! Nitalitaka Jeshi la Polisi liunganishe ujumbe uliotumwa na kifo chako katika hatua za uchunguzi.
Ben Saanane