samaki wa mbao
Member
- Apr 15, 2021
- 81
- 124
Nyie malaya mnajionaga dunia mali yenu sio?duh, hizi kiki hizi! unajitumia SMS ili uje uandike makala zisomwe na watu wengi
Au sio?Hitman afanyi kazi kibwege hivo yaani akupe taarifa wewe nani...halafu hakuna cha ajabu na ulichoandika ambacho kinaweza kuifanya serikali itetereke
After all Tanzanian we don't kill for nothing sana sana tuna kutesa kisaikolojia tu.
Naamn hii comment hua inakusutaBen, una uhakika gani kuwa huyo aliyekutishia ni mtu kutoka serikalini? Isije ikawa umechezewa tu na vijana wa mtandaoni nawe umekimbilia huku kutafuta kiki. Nijuavyo mimi hakuna hitman mjinga aandike vitisho hivyo na namba ya simu juu.
Daima kumbuka kuwa ili chuma kiwe imara ni lazima kipite kwenye fukuto. You will be OK na huko mbele utakuwa mpinzani aliyekomaa. Siasa zina gharama. Good luck!
Hua wajisikiaje ukisoma hii comment yakowe ben acha porojo,kwanza we zulumati mkubwa,siku ya kwanza umejoin hapa jukwaani baada ya wiki alikuja manamke hapa kulalama ulimkopa huko kariakoo,we sasa hizo za kugandia n upambe hazikufikishi kokote laghai mkubwa
Wenye dunia yenuMsaliti hana sehem ndani yaa taifa hili. Don't waste your time tafuta huruma yaa jamii nakuweka namba zisizokuwepo kwenye mitandao. Hilo Ni taifa letu site na wasaliti hawana nafasi kuvuta pumzi hii nzuri Mungu aliwapa wa zalendo na sio wasaliti.
Narudia tena usipoteze muda wa watu kusoma mambo haya yasio na vina ukizingatii husemi ukweli kile unafanya gizani na kwa nini unayofanya gizani yasiwe giza la milele la maisha yako.....
Sema ukweli.....
Inahitajika tume kuchunguza upotevu wa watu wa aina hii.
Nijiskie nini kwa huyo mpuuzi,nilimwambia zamani sana uko third world jiangalie.akabisha akawa mjuaji wanajua wenye kazi zao walichofanya.Hua wajisikiaje ukisoma hii comment yako
Kuwa hai sio rahisiHivi yupo hai au ndiyo watakua walishampuzishs
Na hao wenye kazi zao wapo wapi Sasa?Nijiskie nini kwa huyo mpuuzi,nilimwambia zamani sana uko third world jiangalie.akabisha akawa mjuaji wanajua wenye kazi zao walichofanya.
Nilijaribu kumshtua tu kama mdogo wangu basi.
Mi mwenyewe mpaka leo najiuliza.Na hao wenye kazi zao wapo wapi Sasa?
"ROHO YA MTU NGUMUU"
Hao wenye hizo kazi zao nao wako wapi Sasa hivi? Mungu ni mkuu na fundi Sanaa...Nijiskie nini kwa huyo mpuuzi,nilimwambia zamani sana uko third world jiangalie.akabisha akawa mjuaji wanajua wenye kazi zao walichofanya.
Nilijaribu kumshtua tu kama mdogo wangu basi.
Mi mwenyewe mpaka leo najiuliza.
Kuna anayejua yuko wapi?
Hakuna anayejua kilichompata zote ni hearsay tu.
Nakusalimu mkuuHivi Ben weee umeandika lipi lenye negative impacts kwa serikali ya Magu?
I think unatafuta umaarufu ambao ni cheap.
Sina haja kujua hayo,sio mwanasiasa na siipendi.Unadhani ni sahihi kumuadhibu MTU anayekukosoa?