Ben Saanane, roho inayoishi ndani ya mioyo yetu. Ni faida gani umepata?

Ben Saanane, roho inayoishi ndani ya mioyo yetu. Ni faida gani umepata?

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Sio wote hatujui chochote kumhusu mjenzi huyo wa kizazi kipya cha wanasiasa chipukizi hapa Tanzania. Yupo anaejua alipo. Anayejua alipo yupo miongoni mwetu, na kila tunachozungumza kumhusu mwendazake huyu anakiona, yupo! Yupo anasonya kwa kuwa tu tumenyimwa uwezo wa kumjua ila yupo.

Huenda anaingia na makanisani kusali na kuwahubilia wengine lakini hajutii kuondoa roho ya mtu mwenye ndoto kama Ben. Na huenda anajitambulisha kama mtumishi lakini amesahau roho za watu ni sawa na kubeba furushi la laana kichwani.

Huenda ni kijana mdogo tu lakini namhakikishia hii laana itamla yeye na uzao wake wote, kama asipotubu na kujiweka wazi mbele ya Watanzania. Atubu na atueleze tu kokote ambako walimuweka huyu kijana asiye na hatia.

Tujue tu kwamba alikufa au amefungiwa sehemu ambayo hakuna mchana wala usiku, laana itamtafuna sana kama asipotubu hadharani.

Roho ya Ben ipo miongoni mwetu inazunguka haitakuacha salama wewe shetani ambae huenda ulikuwa na madaraka makubwa na sasa hauna tena. Laana itakutafuna wewe ibilisi ambae huenda ukiingia kanisani unalia sana machozi lakini vishindo vya roho ya Ben havitakuacha salama!

Jitahidi utubu, jitahidi sana kuomba toba kinyume chake kuna giza zito sana mbele yako. Tuambie ukweli Ben ulimzika wapi, ulimtupa wapi au anaishi wapi?

Asiyesikia la mkuu huvunjika guu u aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika na hatapata dawa.
 
Huenda ni kijana mdogo tu lakini namhakikishia hii laana itamla yeye na uzao wake wote, kama asipotubu na kujiweka wazi mbele ya Watanzania. Atubu na atueleze tu kokote ambako walimuweka huyu kijana asiye na hatia
Mwisho wa kunukuu
 
Sio wote hatujui chochote kumhusu mjenzi huyo wa kizazi kipya cha wanasiasa chipukizi hapa Tanzania. Yupo anaejua alipo. Anayejua alipo yupo miongoni mwetu, na kila tunachozungumza kumhusu mwendazake huyu anakiona, yupo! Yupo anasonya kwa kuwa tu tumenyimwa uwezo wa kumjua ila yupo.

Huenda anaingia na makanisani kusali na kuwahubilia wengine lakini hajutii kuondoa roho ya mtu mwenye ndoto kama Ben. Na huenda anajitambulisha kama mtumishi lakini amesahau roho za watu ni sawa na kubeba furushi la laana kichwani.

Huenda ni kijana mdogo tu lakini namhakikishia hii laana itamla yeye na uzao wake wote, kama asipotubu na kujiweka wazi mbele ya Watanzania. Atubu na atueleze tu kokote ambako walimuweka huyu kijana asiye na hatia.

Tujue tu kwamba alikufa au amefungiwa sehemu ambayo hakuna mchana wala usiku, laana itamtafuna sana kama asipotubu hadharani.

Roho ya Ben ipo miongoni mwetu inazunguka haitakuacha salama wewe shetani ambae huenda ulikuwa na madaraka makubwa na sasa hauna tena. Laana itakutafuna wewe ibilisi ambae huenda ukiingia kanisani unalia sana machozi lakini vishindo vya roho ya Ben havitakuacha salama!

Jitahidi utubu, jitahidi sana kuomba toba kinyume chake kuna giza zito sana mbele yako. Tuambie ukweli Ben ulimzika wapi, ulimtupa wapi au anaishi wapi?

Asiyesikia la mkuu huvunjika guu u aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika na hatapata dawa.
HAKUNA FAIDA YOYOTE WALIYOPATA ZAIDI YA DHAMBI MUNGU ni FUNDI Damu ya BEN SAANANE haitamwagika Bure Lazima ikitafune kizazi cha Wote Waliohusika Ameanza YEYE na Wengine Watafuata MUNGU huwasikiliza Wanaolia kwa Uonevu.
 
Sio wote hatujui chochote kumhusu mjenzi huyo wa kizazi kipya cha wanasiasa chipukizi hapa Tanzania. Yupo anaejua alipo. Anayejua alipo yupo miongoni mwetu, na kila tunachozungumza kumhusu mwendazake huyu anakiona, yupo! Yupo anasonya kwa kuwa tu tumenyimwa uwezo wa kumjua ila yupo.

Huenda anaingia na makanisani kusali na kuwahubilia wengine lakini hajutii kuondoa roho ya mtu mwenye ndoto kama Ben. Na huenda anajitambulisha kama mtumishi lakini amesahau roho za watu ni sawa na kubeba furushi la laana kichwani.

Huenda ni kijana mdogo tu lakini namhakikishia hii laana itamla yeye na uzao wake wote, kama asipotubu na kujiweka wazi mbele ya Watanzania. Atubu na atueleze tu kokote ambako walimuweka huyu kijana asiye na hatia.

Tujue tu kwamba alikufa au amefungiwa sehemu ambayo hakuna mchana wala usiku, laana itamtafuna sana kama asipotubu hadharani.

Roho ya Ben ipo miongoni mwetu inazunguka haitakuacha salama wewe shetani ambae huenda ulikuwa na madaraka makubwa na sasa hauna tena. Laana itakutafuna wewe ibilisi ambae huenda ukiingia kanisani unalia sana machozi lakini vishindo vya roho ya Ben havitakuacha salama!

Jitahidi utubu, jitahidi sana kuomba toba kinyume chake kuna giza zito sana mbele yako. Tuambie ukweli Ben ulimzika wapi, ulimtupa wapi au anaishi wapi?

Asiyesikia la mkuu huvunjika guu u aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika na hatapata dawa.
Siku mkijua kuwa mbowe mtu mbaya sana mtakuwa mmechelewa sana...kuhusu ben saa8 mtuhumia
No 1 [emoji117] ni mbowe
No 2 [emoji117] ni mbowe
No 3 [emoji117] ni mbowe
Na kuna sababu za kimikakati kwanini awe ni mbowe ...ushahidi mwingine ni huu baada ya JPM kufariki uwezi kumsikia mbowe akiguswa na tukio la ben saa 8 hata kulidhungumzia huwa ni vigumi maana tukio la ben lilikuwa limesukwa maususi kwa ajili ya kumchafua jpm na taifa letu kimataifa.
 
Sio wote hatujui chochote kumhusu mjenzi huyo wa kizazi kipya cha wanasiasa chipukizi hapa Tanzania. Yupo anaejua alipo. Anayejua alipo yupo miongoni mwetu, na kila tunachozungumza kumhusu mwendazake huyu anakiona, yupo! Yupo anasonya kwa kuwa tu tumenyimwa uwezo wa kumjua ila yupo.

Huenda anaingia na makanisani kusali na kuwahubilia wengine lakini hajutii kuondoa roho ya mtu mwenye ndoto kama Ben. Na huenda anajitambulisha kama mtumishi lakini amesahau roho za watu ni sawa na kubeba furushi la laana kichwani.

Huenda ni kijana mdogo tu lakini namhakikishia hii laana itamla yeye na uzao wake wote, kama asipotubu na kujiweka wazi mbele ya Watanzania. Atubu na atueleze tu kokote ambako walimuweka huyu kijana asiye na hatia.

Tujue tu kwamba alikufa au amefungiwa sehemu ambayo hakuna mchana wala usiku, laana itamtafuna sana kama asipotubu hadharani.

Roho ya Ben ipo miongoni mwetu inazunguka haitakuacha salama wewe shetani ambae huenda ulikuwa na madaraka makubwa na sasa hauna tena. Laana itakutafuna wewe ibilisi ambae huenda ukiingia kanisani unalia sana machozi lakini vishindo vya roho ya Ben havitakuacha salama!

Jitahidi utubu, jitahidi sana kuomba toba kinyume chake kuna giza zito sana mbele yako. Tuambie ukweli Ben ulimzika wapi, ulimtupa wapi au anaishi wapi?

Asiyesikia la mkuu huvunjika guu u aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika na hatapata dawa.
Ben saanane alikua ni mtu amejaa chuki tu na ubinafsi. Chuki kwa umma chuki kwa magufuli chuki kwa ccm. Baada ushindi urais wa magufuli kiongozi aliyebeba maslahi ya umma dhidi ya ubinafsi na kiburi cha waliyoona wana hati miliki kwenye haki na kuhodhi mali ben alitumika kujaribu kumdhalilisha magufuli na kuonesha ni mtu wa ovyo. Alifanya juhudi kubwa kuonesha magufuli hakupata degree yake ya PhD kihalali toka chuo kikuu cha dar es salaam, na kwamba shahada yake ni ya kugushi. Aliandika uongo na kufanya juhudi kiasi cha kustaajabisha kumkejeli magufuli. Hakika alijizolea maadui wengi miongoni mwa watanzania wenye fikra za kimapinduzi huku akionekana shujaa na wapinga maendeleo 'reactionaries'.
Ziko taarifa kwamba siku zake za mwisho kabla hajatoweka alitofautiana na bosi wake hadi kutishiwa maisha. Ila kama kawaida ya wapinzani wa ccm kupotea kwake inalaumiwa serikali ya ccm enzi za jpm.
 
HAKUNA FAIDA YOYOTE WALIYOPATA ZAIDI YA DHAMBI MUNGU ni FUNDI Damu ya BEN SAANANE haitamwagika Bure Lazima ikitafune kizazi cha Wote Waliohusika Ameanza YEYE na Wengine Watafuata MUNGU huwasikiliza Wanaolia kwa Uonevu.
Sasa ameanza nani mkuu? Kwani kifo ni adhabu? Kwani kila anayekufa ameshiriki dhambi? Tulio hai hatujashiriki dhambi? Huku ni kujifariji kwa kujilisha upepo….kama kufa ni adhabu basi kila mtu anayo hakika ya kupata adhabu hiyo ikiwemo wewe.
 
Back
Top Bottom