- Thread starter
- #281
Pale jirani anapowafukuza watoto wa mwenzie ambao hawataki kuoga
Kazi kweli kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale jirani anapowafukuza watoto wa mwenzie ambao hawataki kuoga
uchumi ndio unaamua sio eggo zao.Hilo la kupitishia mizigo Mombasa nafikiri ni agenda yao kwa sasa M7, Kagame na Kenyatta
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo itumike na itafaaKiuhalisia hii sio sawa! Kama ni kuwazuia madereva wa Tanzania kuingia Rwanda basi bora Malori kutoka Tanzania yawe yanashusha mzigo boda then ya Rwanda yanapokea from there lakini sio kumuachia mtu usiyemjua gari yako
Sent using Jamii Forums mobile app
UKimwaga ugali, namwaga mboga.Tusishangilie uhuni,kila mtu akiamua kujischukulia sheria mkononi mwaka,hapa patakuwa hapatoshi,tunatakiwa kulaani kwa nguvu zote uhuni huo,wahuni sio serikali ,ni serikali ndio inatakiwa itoe maamuzi.
Wewe ndie mchangiaji mjinga kuliko yeyote kwenye hiii madaMadereva wa TZ wana Korona wataambukiza Wanyarwanda kila watakapokwenda
Distance from Beira to kigali Rwanda ni 2,757.5 kmKwa hiyo unataka kusema Beira ni mbali kutoka nchi zote nilizotaja hapo? Utakuwa haufahamu gografia.
Siasa za kitoto siasa za kitoto za Rwanda yaani madereva wa Rwanda wakija Tanzania hawaugui walala kudaka corona ?!!!!!! Wako corona proof!!!!! ila madereva wetu wa Tanzania wakienda Rwanda ndio wanapeleka Corona!!!! Ha ha haHao wa rwanda wakija huku hawataambukizwa hiyo corona?
Nimeimisss kinoma nomaSerikali Ya Viwanda Ipo
Haki ni two way traffic sio one way traffic kuwa madereva wa Rwanda waje kwetu Halafu wa kweti Tanzania wasiingie Kwao !!! Hilo Hakuna tunawaunga mkono madereva wetuUKimwaga ugali, namwaga mboga.
Hakuna uhuni wowote hapo, ni haki sawa kwa wote.
Hahahahaha agiza Heineken nitalipiaWewe ndie mchangiaji mjinga kuliko yeyote kwenye hiii mada
Mvumilie tu Mkuu, hao wengiWewe ndie mchangiaji mjinga kuliko yeyote kwenye hiii mada
Kagame ana akili.
Namuunga mkono sana kwenye hili
Yaani mimi nisacrifice kuthibiti Korona hadi kufikia kuwapunguzia watumishi mishahara halafu mijitu ya nchi nyingine ije iharibu sacrifice yoote eti tu. kwa sababu raisi wao anatafuta shortcut ya tatizo
Kagame tuko pamoja, uko sahihi mara mia na nakushauri ili kulinda Afya za Wanyarwanda pitisha mizigo Mombasa mpaka ujiridhishe kuwa Tanzania ni salama.
Endeleeni kujilinda sana ili sisi watanzania tukishakufa kwa korona sababu ya uzembe wa serikali yetu nyie mje mkalie na muishi katika ardhi hii maana nyie ni waafrika wenzetu. Bora nyie waafrika wenzetu mje muirithi nchi hii kuliko Wachina na Wazungu
Nimempenda sana reporter wa tukio hili,MB zangu zimeenda kW haki kabisaBaada ya kunyanyasika vilivyo nchini Rwanda madereva wa malori wa Tanzania wamejichukulia sheria mkononi kuyazuia malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini.
Inasemekana baada ya Rwanda kuudhibiti ugonjwa wa Corona vilivyo nchini mwao, kitisho pekee kwa sasa kimebakia kuwa kutokea kwa wageni wanaoingia nchini mwao.
Katika hili inasemekana madereva wa malori kutokea nje wamekuwa ndiyo kitisho kikubwa. Takwimu zinaonyesha kuwa madereva kadhaa tokea Tanzania wamepatikana na virusi hivyo kwenye kuingia huko. Kutokana na hali hiyo, inasemekana Rwanda imebadilisha utaratibu wa malori kuingiza mizigo na sasa kuwataka madereva wa kutoka nje (Tanzania) kuishia mpakani. Utaratibu mpya unawataka madereva walioko (salama) ndani ya Rwanda pekee kuyafikisha malori Kigali na kuwarudishia mpakani.
Utaratibu wa ajabu kabisa. Nani atamwamini mtu asiyemjua na gari lake? Kujibu hilo madereva wa Tanzania nao wamechukua hatua zao na kuanzia jana inasemekana hali huko ni tete. Hakuna lori kutoka Rwanda wanaloliruhusu kuingia nchini. Vinginevyo nao wanawataka waishie mpakani kwa hali ile ile kama inavyotakiwa kwa wetu kufanya.
My take: Serikali inabidi kuingilia kati haraka iwezekanavyo na kuchukua hatua. Yawezekana hawa ndugu tuliowaachia mpaka wazi kwa kuwahurumia ya kwamba watataabika mno, huruma yetu hawaihitaji kabisa!
Kudos madereva wetu si mbaya mkuki kwa nguruwe kuwa ni ule ule kwa binadamu pia.
View attachment 1440166
View attachment 1440284
View attachment 1440167
View attachment 1440140
Mnajionaga mna akili sana nyie kenge, ndomana mahutu yalikuwa yanawachinja kama kuku, Mende mkubwa wewe.
Kwa akili zako unazani sie tunashida hicho kimkoa kinachozidiwa eneo na wilaya ya mafia. Sie hatuwahitaji kwa lolote ni wafanyabiashara uchwara wa hicho kimkoa ndo wanunua Huduma za usafirishaji kwa matajiri wa malori tz, wasipokuja kununua hii Huduma wala hatuna habari nao kabisa