Benaco Ngara: Madereva wa Malori wa Tanzania, wamejichukulia sheria mkononi kuzuia Malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini

Tusishangilie uhuni,kila mtu akiamua kujischukulia sheria mkononi mwaka,hapa patakuwa hapatoshi,tunatakiwa kulaani kwa nguvu zote uhuni huo,wahuni sio serikali ,ni serikali ndio inatakiwa itoe maamuzi.
UKimwaga ugali, namwaga mboga.

Hakuna uhuni wowote hapo, ni haki sawa kwa wote.
 
Kwa hiyo unataka kusema Beira ni mbali kutoka nchi zote nilizotaja hapo? Utakuwa haufahamu gografia.
Distance from Beira to kigali Rwanda ni 2,757.5 km
Na Distance from DSM to Kigali ni 1650km

Wapi mbali Mkuu.

Nyie ni wetu tu, hamchomoki.
 
Hao wa rwanda wakija huku hawataambukizwa hiyo corona?
Siasa za kitoto siasa za kitoto za Rwanda yaani madereva wa Rwanda wakija Tanzania hawaugui walala kudaka corona ?!!!!!! Wako corona proof!!!!! ila madereva wetu wa Tanzania wakienda Rwanda ndio wanapeleka Corona!!!! Ha ha ha

Madereva wa Tanzania komaeni watoto wa kiume tuko nyuma yenu tunawaunga mkono
 
UKimwaga ugali, namwaga mboga.

Hakuna uhuni wowote hapo, ni haki sawa kwa wote.
Haki ni two way traffic sio one way traffic kuwa madereva wa Rwanda waje kwetu Halafu wa kweti Tanzania wasiingie Kwao !!! Hilo Hakuna tunawaunga mkono madereva wetu
 
Wewe ndie mchangiaji mjinga kuliko yeyote kwenye hiii mada
Mvumilie tu Mkuu, hao wengi
1. Hawana baba wala mama, wazao wao waliondolewa na Genocide
2. Wana njaa, na mwenye nja huwa hawana busara na akili
3. Ina wezekana hata huyo, ni mmoja wa ombaomba wa kinyarwanda waliyepo Kbungo(COCKROACH)
 


We kilaza usijiite mTz.
 
Nimempenda sana reporter wa tukio hili,MB zangu zimeenda kW haki kabisa
 
serekali iingilie kiti nini..,wao wamedhibiti ugonjwa sisi tunawapelekea ugonjwa we unadhani watakunalinkirahisi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Kima mjane ahhh kila mtu ashinde mechi zake mnaenda kufanya nin kama sio njaa


Blackberry
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…