Benard Membe: Musiba hasimami tena na kujifanya yeye ni Mungu Mtu. Huko uliko naomba hela zangu

Benard Membe: Musiba hasimami tena na kujifanya yeye ni Mungu Mtu. Huko uliko naomba hela zangu

Na ndo maana tulifunga na kuomba ili Magufuli afe,hebu fikiri kwa kina Kama Magufuli angekuwepo hata sasa hali ingekuwaje?
Mungu anajibu maombi.

IMG_20211028_135238_003.jpg
 
MEMBE AKIMSAMEHE WATANZANIA WATASIKITIKA NA KUMSHANGAA SANA MEMBE. MUSIBA AMEDHALILISHA WATU WENGI BILA HURUMA. IWEJE ASAMEHEWE. ACHA DENI LIMTESE MPAKA SIKU YA KWENDA KABURINI. HIYO NI ADHABU KUTOKA KWA MUNGU.
Kumsamehe Musiba ni sawa na kusamehe joka lililomo chumbani mwako
 
Hizi mahakama hizi, sasa Musiba bilioni 6 atapata wapi?

Wangemwambia atoe milioni 30 tu, akishindwa nyumba inauzwa anakuja Mlowo Mbozi kufanya vibarua kwenye mashamba ya kahawa.
Mkuu walitaka kumhukumu Musiba anyongwe, sasa kipengele cha kumhukumu kifo kikakosekana,sasa wanajua kuwa Musiba atajiua kwa sababu mali zake zote zitauzwa, halafu atafungwa kwa kudharau Mahakama kwamba kwanini halipi faini,hapo ndo litajiua hilo Boya
 
Mh. Membe, huyu jamaa hasikii karudi tena kwetu anasema eti tumsaidie kulipa hizo hela !!
 
“Niwaambie Watanzania wenzangu hakuna Mtanzania awe Ndovu au sisimizi mwenye kusimama juu ya sheria hakuna aliye juu ya sheria, ukimdhalilisha mwenzako ukadhani kwamba utaendelea kupiga miluzi na kufurahia kana kwamba wewe umefika Duniani kama Kiongozi au ndio mkubwa au Mungu Mtu, Mahakama Kuu ni jibu kwamba ukidhalilishwa fika Mahakamani uitafute haki yako nimefika hapa kwa niaba ya watanzania wote na Viongozi Wastaafu walionyanyaswa na kudhalilishwa na Mtu huyu"

"Naomba wajue hili halitotokea tena, hasimami tena kudhalilisha Wazee na Viongozi wake, hasimami tena na kujifanya yeye ni Mungu Mtu, hasimami tena kuwatukana Watu walioifanyia kazi Nchi hii kwa uaminifu na uadilifu wote, anasimama Mtu kwa kutumwa na kulipwa akadhani kwamba ataendelea kuishi Duniani katika hali hiyo hamtomuona tena akifanya hivyo na Musiba huko uliko naomba hela zangu"

Bernard Membe

Pia, soma=> Mahakama yaamuru Cyprian Musiba kulipa faini ya Tsh bilioni 6 kwa kumchafua Bernard Membe
Kauli ya membe ililenga kumkejeli magufuli siyo msiba "hasinmami tena"

Ccm wengi wamefurahia kifo cha shetani mwendakuzimu
 
Back
Top Bottom