Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Mungu anajibu maombi.Na ndo maana tulifunga na kuomba ili Magufuli afe,hebu fikiri kwa kina Kama Magufuli angekuwepo hata sasa hali ingekuwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu anajibu maombi.Na ndo maana tulifunga na kuomba ili Magufuli afe,hebu fikiri kwa kina Kama Magufuli angekuwepo hata sasa hali ingekuwaje?
Kumsamehe Musiba ni sawa na kusamehe joka lililomo chumbani mwakoMEMBE AKIMSAMEHE WATANZANIA WATASIKITIKA NA KUMSHANGAA SANA MEMBE. MUSIBA AMEDHALILISHA WATU WENGI BILA HURUMA. IWEJE ASAMEHEWE. ACHA DENI LIMTESE MPAKA SIKU YA KWENDA KABURINI. HIYO NI ADHABU KUTOKA KWA MUNGU.
Mkuu walitaka kumhukumu Musiba anyongwe, sasa kipengele cha kumhukumu kifo kikakosekana,sasa wanajua kuwa Musiba atajiua kwa sababu mali zake zote zitauzwa, halafu atafungwa kwa kudharau Mahakama kwamba kwanini halipi faini,hapo ndo litajiua hilo BoyaHizi mahakama hizi, sasa Musiba bilioni 6 atapata wapi?
Wangemwambia atoe milioni 30 tu, akishindwa nyumba inauzwa anakuja Mlowo Mbozi kufanya vibarua kwenye mashamba ya kahawa.
Tunazingatia alphabet. Anna ,Bernard alipwe then Fatuma.
Kauli ya membe ililenga kumkejeli magufuli siyo msiba "hasinmami tena"“Niwaambie Watanzania wenzangu hakuna Mtanzania awe Ndovu au sisimizi mwenye kusimama juu ya sheria hakuna aliye juu ya sheria, ukimdhalilisha mwenzako ukadhani kwamba utaendelea kupiga miluzi na kufurahia kana kwamba wewe umefika Duniani kama Kiongozi au ndio mkubwa au Mungu Mtu, Mahakama Kuu ni jibu kwamba ukidhalilishwa fika Mahakamani uitafute haki yako nimefika hapa kwa niaba ya watanzania wote na Viongozi Wastaafu walionyanyaswa na kudhalilishwa na Mtu huyu"
"Naomba wajue hili halitotokea tena, hasimami tena kudhalilisha Wazee na Viongozi wake, hasimami tena na kujifanya yeye ni Mungu Mtu, hasimami tena kuwatukana Watu walioifanyia kazi Nchi hii kwa uaminifu na uadilifu wote, anasimama Mtu kwa kutumwa na kulipwa akadhani kwamba ataendelea kuishi Duniani katika hali hiyo hamtomuona tena akifanya hivyo na Musiba huko uliko naomba hela zangu"
Bernard Membe
Pia, soma=> Mahakama yaamuru Cyprian Musiba kulipa faini ya Tsh bilioni 6 kwa kumchafua Bernard Membe
Atatwaliwa na wangapi? au wamgawane vipande vya mudaMzee kakazie hukumu umtwae Musiba akawe mtwana wako hadi deni liishe! Siamini kama ana hela ya kukulipa huyu, mtwae tu yaishe!
Wamgawane na hata kupasua kibofu sawa tuAtatwaliwa na wangapi? au wamgawane vipande vya muda
Kajifichia huko Mara mashambani ...hawez jitokeza ..Kuna tetesi kwamba Bashite kaikimbia nchi ni kweli?
View attachment 1989644