Benard Membe: Trump alishindanishwa na wenzake na akashinda kugombea awamu ya pili

Kama chama cha republican wanaruhusu huo utaratibu, aende huko akagombee urais wa marekani. CCM ipo TZ na inautaratibu wake ambao si lazima ufanane na chama kingine. Kama anateseka na muwasho wa kugombea urais wa TZ, ahamie chadomo au kile chama cha mkongoman Zitto, huko atakunwa vizuri tu na atafurahia show.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…