Antetokounmpo
JF-Expert Member
- Feb 5, 2020
- 1,240
- 2,010
Na mimi mkuu naomba kukumbushwa, nmefatilia sana ila sioni wagombea wengne walo mchallenge Mzee wa msoga 2010.....Kwanini hakuyasema haya Kikwete alipokua anagombea term ya pili? Kikwete aligombea na nani term ya pili?
Wajuvi wa mambo nisaidien hii historia.