Benard Membe: Trump alishindanishwa na wenzake na akashinda kugombea awamu ya pili

Benard Membe: Trump alishindanishwa na wenzake na akashinda kugombea awamu ya pili

Kwanini hakuyasema haya Kikwete alipokua anagombea term ya pili? Kikwete aligombea na nani term ya pili?
Na mimi mkuu naomba kukumbushwa, nmefatilia sana ila sioni wagombea wengne walo mchallenge Mzee wa msoga 2010.....

Wajuvi wa mambo nisaidien hii historia.
 
Kama chama cha republican wanaruhusu huo utaratibu, aende huko akagombee urais wa marekani. CCM ipo TZ na inautaratibu wake ambao si lazima ufanane na chama kingine. Kama anateseka na muwasho wa kugombea urais wa TZ, ahamie chadomo au kile chama cha mkongoman Zitto, huko atakunwa vizuri tu na atafurahia show.
Daaah!! User name inasadifu
 
Mwanasiasa ambaye anaonekana Msumbufu kwa kipindi hiki , ameandika huko katika mtandao was Twitter kuhusu Mchakato wa Kumpata Rais Trump wa Marekani kugombea awamu ya pili

View attachment 1487440
sasa anajua kuna tofauti za tamaduni anachoshangaa ni nini?? huwa naelewaga kushindwa kumuelewa mtu, membe akae kimya tu ni busara pia kuliko huku kulialia kila siku wenzake wanafanya kweli, si akachukue hiyo fomu ...
 
Na mimi mkuu naomba kukumbushwa, nmefatilia sana ila sioni wagombea wengne walo mchallenge Mzee wa msoga 2010.....

Wajuvi wa mambo nisaidien hii historia.
Shibuda alichukua fomu na mtu mwingine ambaye simkumbuki
 
MATAGA lazima watage safari hii!!
Hata 2015 mlisema hivyo hivyo matokeo yake Lowasa akawatagisha nyie.

Na kama umemsikiliza vizuri Membe jana wakati anahojiwa na DW utagundua mwelekeo wa Membe ni ACT au chadema!

Kwahiyo ni zigo lenu hilo, jiandaeni kudeki barabara tena.
 
Fomu ya dola au urais? Pia kuna taarifa kua printer ya kuprint fomu nyinigine imeharibika ,kirusi kimeitafuna file yenye fomu na ile iliyotolewa imeisha jazwa.
Tupo Dodoma maana tumehamia huko sio kukaa DSM
Mwambie Membe aende dodoma kuchukua form aache kubwabwaja
 
Hivi umeelewa alichoandika?! Hilo suala la awamu ya pili uliloandika kwenye heading umelitoa wapi wakati kwenye twee hajaandika hivyo?!

Kilichopo ni kwamba, officially Donald Trump anajitambulisha kama Florida Resident. Sasa Republican Florida hawakuangalia urais wake na badala yake wamewapitisha Bill Weld, Joe Walsh, na Rocky De La Fuente kupambana na Trump equally at "home" ground badala ya kumpitisha Trump peke yake kama wanavyofanya CCM!
Naona umeibuka! Vipi corona?
 
SASA NAANZA KUPATA PICHA, SUMU YA MANGULA!

Ni katika awamu ya nne ya kaka yako na wewe ukiitwa waziri mwandamizi ndani ya serikali ndipo mlipomtimua mzee huyu akaenda kulima nyanya kijijini kwake.
Na JPM kwa kuujua uadilifu wa mzee huyu pasi na shaka alipochukuwa uongozi alimrudisha kutoka shambani.
Ili amsaidie majukumu anayotekeleza mpaka sasa.

Staili ya sumu imekuwa mtindo wa wabobezi,...na msimamo wa mzee huyu wabobezi waliujua na huenda ndio mojawapo ya mbinu hiyo ilipokuwa na lengo la kuondoa vigingi ili kutomzuia mbobezi.

Tunaposema kuna wahuni wachache ndani ya chama na serikali huenda humaanisha hili.
Membe anabweka tu ila **** sehemu wakimtekenya lazima anye
 
Mnabishaaaaana mwenzenu anatia zake bando, anapost twitter ananyoosha miguu sebuleni kuangalia watu wanavyocharurana.

Hivi ana hamu na urais anajua fomu zinapopatikana ila yupo tu anapost twitter?
 
Atachukua wapi kama wanamzuia?? Kama hawamwogopi wafanye uchukuaji fomu uwe huru.Kwanini unataka achukue fomu nyuma ya pazia??
Walimzuia wapi? Anafikiri form zinapatina twitter?
 
Nimekwambia wewe ni moja kati ya wajinga mnaoamini kila kitu mitandaoni
Fomu nyingi zipo Zanzibar huku Bara imeprintiwa moja tu.mjomba ako jiwe muoga sana maana alijua kabisa kuwa hakubaliki na yeyote ila analazimisha tu.
 
Kufananisha Marekani na Tanzania huo utaratibu aliwafunza nani tangu lini MAREKANI NA TANZANIA ZIKAFANANA ...toeni hoja zinazoeleweka NYUMBU
Kafananisha kwa sababu mfumo wa vyama unafanana vyama vingi ila sio kwa utajiri au kitukingine.sasa unataka tufananishe na china kweli.najua ulikuwa kujaelewa nini kinaendelea ulikulupuka.
 
Back
Top Bottom