Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Wanaosema hayo maneno ni wa Chadema. Humu jukwaani hakuna mwana CCM yeyote alishasema CCM wanahitaji joka la mdimu.Safi sana Membe agombee huko huko CCM maana wanachama wa CCM wanasema wanamhitaji kwa hali na mali.