Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
MATAGA lazima watage safari hii!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilidhani mimi ndio simuelewi....yani zile tekiniki na figisu za siasa za Tanzania hana! Ngoja tusubiri labda bado anapasha tu!Membe alizoea kubebwa mzee kikwete ila yeye binafsi ni mweupe mno
Kama chama cha republican wanaruhusu huo utaratibu, aende huko akagombee urais wa marekani. CCM ipo TZ na inautaratibu wake ambao si lazima ufanane na chama kingine. Kama anateseka na muwasho wa kugombea urais wa TZ, ahamie chadomo au kile chama cha mkongoman Zitto, huko atakunwa vizuri tu na atafurahia show.
Kwanini hakuyasema haya Kikwete alipokua anagombea term ya pili? Kikwete aligombea na nani term ya pili?membe yupo sahihi
Fomu ya dola au urais? Pia kuna taarifa kua printer ya kuprint fomu nyinigine imeharibika ,kirusi kimeitafuna file yenye fomu na ile iliyotolewa imeisha jazwa.Membe chukua fomu acha kulia lia
Chukua fomu sisi wapiga kura ndio tutaamua
Hivi umeelewa alichoandika?! Hilo suala la awamu ya pili uliloandika kwenye heading umelitoa wapi wakati kwenye twee hajaandika hivyo?!Mwanasiasa ambaye anaonekana Msumbufu kwa kipindi hiki , ameandika huko katika mtandao was Twitter kuhusu Mchakato wa Kumpata Rais Trump wa Marekani kugombea awamu ya pili
Hivi unakielewa ulicho kiandika au umekulupuka tu.china na urusi kweli.Hii TANZANIA SIO MAREKANI... mbona hajatumia mfano wa China au Urusi ( Demokrasia sio kama chupa ya coca cola ifanane kila nchi) ... Tanzania has its own model of Democracy Zwazwa mkubwa
Kwanini hukumshauri kuyazungumza ayo wakati wa Kikwete?Kwanini hakuyasema haya Kikwete alipokua anagombea term ya pili? Kikwete aligombea na nani term ya pili?
Mgombea tunaye, kama alishindwa ku fluku 2015, akafie mbele ya safari.mwambieni jiwe asubiri membe anagombea sasa
Kufananisha Marekani na Tanzania huo utaratibu aliwafunza nani tangu lini MAREKANI NA TANZANIA ZIKAFANANA ...toeni hoja zinazoeleweka NYUMBUHivi unakielewa ulicho kiandika au umekulupuka tu.china na urusi kweli.
Ila siwezi kushangaa maana akili hazifanani.kweli kizazi cha lumumba mazwazwa wengi.
Ccm wote ni weupe hakuna mwenye uwrzo binafsi wa kuongoza ncgi. Mfano akina Jpm, mwigulu, makonda na akina Gambo et al.Membe alizoea kubebwa mzee kikwete ila yeye binafsi ni mweupe mno
Chama cha wahuni na wanachama lazima wawe wahuni tuSASA NAANZA KUPATA PICHA, SUMU YA MANGULA!
Ni katika awamu ya nne ya kaka yako na wewe ukiitwa waziri mwandamizi ndani ya serikali ndipo mlipomtimua mzee huyu akaenda kulima nyanya kijijini kwake.
Na JPM kwa kuujua uadilifu wa mzee huyu pasi na shaka alipochukuwa uongozi alimrudisha kutoka shambani.
Ili amsaidie majukumu anayotekeleza mpaka sasa.
Staili ya sumu imekuwa mtindo wa wabobezi,...na msimamo wa mzee huyu wabobezi waliujua na huenda ndio mojawapo ya mbinu hiyo ilipokuwa na lengo la kuondoa vigingi ili kutomzuia mbobezi.
Tunaposema kuna wahuni wachache ndani ya chama na serikali huenda humaanisha hili.
Mangula ndio anaetaka form ya urais?Aliyemuwekea sumu Mangula mmeshampata?
Sasa kwanini asiende kuchukua form? Au hajui zinapopatikana?mwambieni jiwe asubiri membe anagombea sasa
Atachukua wapi kama wanamzuia?? Kama hawamwogopi wafanye uchukuaji fomu uwe huru.Kwanini unataka achukue fomu nyuma ya pazia??Kwani Membe hajui form zinachukuliwa wapi?
Au anataka apelekewe nyumbani kwake?
Ndio.Mangula ndio anaetaka form ya urais?
Hahahahhq... Unaandika huku unajua kichoenda kutokeaMagufuli anakwenda kuandika rekodi ya rais wa kwanza tz kuongoza muhula mmoja