MR. IBU
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 1,380
- 2,965
Ndio maana sitaki kuuamini huu ujinga wako unao uweka hapa mtandaoni.mimi naamini ya dodoma.Nimekwambia wewe ni moja kati ya wajinga mnaoamini kila kitu mitandaoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana sitaki kuuamini huu ujinga wako unao uweka hapa mtandaoni.mimi naamini ya dodoma.Nimekwambia wewe ni moja kati ya wajinga mnaoamini kila kitu mitandaoni
Sasa kumbe mpaka mwelekeo wa mwamko wako?ITATEGEMEA NIMEAMKAJE SIKU HIO.
Umekuja Tanzania lini ?SASA NAANZA KUPATA PICHA, SUMU YA MANGULA!
Ni katika awamu ya nne ya kaka yako na wewe ukiitwa waziri mwandamizi ndani ya serikali ndipo mlipomtimua mzee huyu akaenda kulima nyanya kijijini kwake.
Na JPM kwa kuujua uadilifu wa mzee huyu pasi na shaka alipochukuwa uongozi alimrudisha kutoka shambani.
Ili amsaidie majukumu anayotekeleza mpaka sasa.
Staili ya sumu imekuwa mtindo wa wabobezi,...na msimamo wa mzee huyu wabobezi waliujua na huenda ndio mojawapo ya mbinu hiyo ilipokuwa na lengo la kuondoa vigingi ili kutomzuia mbobezi.
Tunaposema kuna wahuni wachache ndani ya chama na serikali huenda humaanisha hili.
Fomu ya dola au urais? Pia kuna taarifa kua printer ya kuprint fomu nyinigine imeharibika ,kirusi kimeitafuna file yenye fomu na ile iliyotolewa imeisha jazwa.
Tupo Dodoma maana tumehamia huko sio kukaa DSM
Kwa hiyo Trump anagombea awamu ya 3 sio ya 2 ?Hivi umeelewa alichoandika?! Hilo suala la awamu ya pili uliloandika kwenye heading umelitoa wapi wakati kwenye twee hajaandika hivyo?!
Kilichopo ni kwamba, officially Donald Trump anajitambulisha kama Florida Resident. Sasa Republican Florida hawakuangalia urais wake na badala yake wamewapitisha Bill Weld, Joe Walsh, na Rocky De La Fuente kupambana na Trump equally at "home" ground badala ya kumpitisha Trump peke yake kama wanavyofanya CCM!
Membe chukua fomu acha kulia lia
Chukua fomu sisi wapiga kura ndio tutaamua
kagombee huko sasa, kwani kila anachofanya marekani lazima tuige?Mwanasiasa ambaye anaonekana Msumbufu kwa kipindi hiki , ameandika huko katika mtandao was Twitter kuhusu Mchakato wa Kumpata Rais Trump wa Marekani kugombea awamu ya pili
View attachment 1487440
Kwahiyo unataka tuvunje mlango au?Mwambie Membe aende dodoma kuchukua form aache kubwabwaja
Achana namambo ya utamaduni angalia katiba inasemaje.kama enzi za jakaya mgombea mwenza hakuwepo unalazimisha na sasa asiwepo.sasa anajua kuna tofauti za tamaduni anachoshangaa ni nini?? huwa naelewaga kushindwa kumuelewa mtu, membe akae kimya tu ni busara pia kuliko huku kulialia kila siku wenzake wanafanya kweli, si akachukue hiyo fomu ...
Acha uppuuzi Urusi na Uchina hakuna demokrasia. Ukandamizaji kwa kwenda mbele.Hii TANZANIA SIO MAREKANI... mbona hajatumia mfano wa China au Urusi ( Demokrasia sio kama chupa ya coca cola ifanane kila nchi) ... Tanzania has its own model of Democracy Zwazwa mkubwa
Sisi CCM wanaopenda demokrasia na uhuru tutampigia kura Membe
Muoga anaejiprintia fomu moja ili wenzake wasigombee.kumbe jibwa koko.Mwambieni membe aache uwoga awe jasiri
Mmh njaa mbaya sana...si muwapeleke mahakamani sasa?si facts mnazo?kwann mnakaa nyuma ya Keyboard?SASA NAANZA KUPATA PICHA, SUMU YA MANGULA!
Ni katika awamu ya nne ya kaka yako na wewe ukiitwa waziri mwandamizi ndani ya serikali ndipo mlipomtimua mzee huyu akaenda kulima nyanya kijijini kwake.
Na JPM kwa kuujua uadilifu wa mzee huyu pasi na shaka alipochukuwa uongozi alimrudisha kutoka shambani.
Ili amsaidie majukumu anayotekeleza mpaka sasa.
Staili ya sumu imekuwa mtindo wa wabobezi,...na msimamo wa mzee huyu wabobezi waliujua na huenda ndio mojawapo ya mbinu hiyo ilipokuwa na lengo la kuondoa vigingi ili kutomzuia mbobezi.
Tunaposema kuna wahuni wachache ndani ya chama na serikali huenda humaanisha hili.
Heading yako inasema "...na akashinda kugombea awamu ya pili" , ni wapi kwenye hiyo tweet amesema "ameshinda kugombea awamu ya pili"?Kwa hiyo Trump anagombea awamu ya 3 sio ya 2 ?
Sasa hoja ya corona na huu mjadala vinahusiana vipi?! Btw, umetowa wapi dhana ya eti "...nililokokuwa nimejificha"?!Ulikokuwa umejificha! Naona ulienda Kenya au Uganda na Rwanda kujificha corona
Nanukuu *Chama Cha Republican kimempitisha Donald Trump kuwa Mgombea kwa sharti la kushinda* mwisho wa kunukuuHeading yako inasema "...na akashinda kugombea awamu ya pili" , ni wapi kwenye hiyo tweet amesema "ameshinda kugombea awamu ya pili"?
Mbona jiwe alijificha chato na alikaa kimya.achananae shemeji yetu huyo.Sasa hoja ya corona na huu mjadala vinahusiana vipi?! Btw, umetowa wapi dhana ya eti "...nililokokuwa nimejificha"?!
Membe chukua fomu acha kulia lia
Chukua fomu sisi wapiga kura ndio tutaamua