Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama cha kijamaa chenye sera za kibepari, hivi huoni mkanganyiko hapo. Kuna maendeleo yatapatikana kupitia chama hiki kweli.Umetumia muda mwingi kunikashifu ukasahau kujibu swali ...CCM ni chama cha Kijamaa tangu kinaanzishwa mpka leo sasa kutoruhusu mgombea mwingine kuchukua fomu ni kitu cha kukushangaza? Ndio mana nimekupa mfano wa chama kingine cha kijamaa CPC cha china je huoni mfanano we unataka CCm iwe kama CHADEMA haiwezekani ndio mana nikakupa mfano Demokrasia ya Marekani huwezi ifananisha na Uingereza Kila nchi ina model yake ya Demokrasia vivyohivyo vyama vya siasa ...jibu hoja acha kuzungumzia watu
Mbali na katiba bado tuna sheria za kitamaduni tulizojiwekea, hizi pia ni muhimu kufuatwa.Ndio maana tunashindwa kuvi run hivi vi nchi vyetu vichanga changa.
Huo ni ubabe, matusi, na kushindwa kufuata taratibu tulizojiwekea, i.e. Katiba.
KATIBA ya chama haisemi Rais lazima apewe nafasi ya muhula wa pili.
Walioshikiria dhamana za dola. jifunzeni kuheshimu mikataba ya kijamii tunayowekena, i.e. KATIBA ZETU
Empty head, hujaona watu waliotia nia ya kugombea urais kupitia CDM, hujui kuwa mchakato wa kura za maoni bado haujafanyika ndio maana hawana jina.Chadema hawana mgombea Hadi Sasa. Wamejipima wameona hakuna hata mmoja anayeweza kujaribu kusimama kwenye urais na JPM ndo maana wamekomaa wanamtaka Membe labda wataweza kuangalia wa kupambana na Membe.
Kama Wana mgombea wataje jina, CCM wamemtaja Magufuli.
Weka kopi ya barua ya ridhaaKatiba sio msahafu kamati kuu ya Chama imeridhia kuendelea na mgombea huyohuyo ... Huyo Membe yeye ni nani hasa mpka avunje utamaduni na makubaliano ya kamati kuu ... KUNA VYAMA VINGI AENDE ANAPOONA KUNA MFAA SI NDIO DEMOKRASIA HIYO?
Wanamjua sana tuu, Ila hakuna mwenye ubavu hata kumnyooshea kidole maana mambo yote ya chama inategemea "siku hiyo ameamkaje".Aliyemuwekea sumu Mangula mmeshampata?
Kuna Top secret, secret na confidential wewe huna clearance hata moja huwezi iona wala kuisikiaWeka kopi ya barua ya ridhaa
Katiba inamruhusu kuishi popote ili mradi havunji sheria za nchiAnaonaje akienda kuishi Marekani eeh! Atuachie bongo yetu.
Hata sisi tunamshangaa alikuwa wapi wakati huo, lakini kama ameamua kuomba ridhaa kugombea sasa kuna ubaya gani?Eti anajifanya kidume sasa hivi! Alikuwa wapi 1995? Alikuwa wapi wakati Mkapa anamaliza awamu yake ya kwanza? Alikuwa wapi wakati JK anamaliza awamu yake ya Kwanza? Sasa hivi ndio anaiona Demokrasia?
Hata hivyo Membe anapaswa sana kumshukuru JK, Alimbeba sana, Hana uwezo.
Ndio atulize zegembe sasaKatiba inamruhusu kuishi popote ili mradi havunji sheria za nchi
Kama hakuwepo wa kushindana nae huo ni uzwazwa wao, katiba inawaruhusu.Vipi kuhusiana na Kikwete yeye alishindanishwa na nani
mwambieni jiwe asubiri membe anagombea sasa
Mambo ya CCM yanaenda kwa vikao.Mbali na katiba bado tuna sheria za kitamaduni tulizojiwekea, hizi pia ni muhimu kufuatwa.
Mbaya zaidi ni kuwa Huyu Membe alishiriki kuwashawishi wanaotaka kumpinga Kikwete wasifanye hivyo.Kama hakuwepo wa kushindana nae huo ni uzwazwa wao, katiba inawaruhusu.
Swali jingine please
Ulivyomalizia hoja yako ndipo ulipodhihirisha una uwendawazimu.Kama chama cha republican wanaruhusu huo utaratibu, aende huko akagombee urais wa marekani. CCM ipo TZ na inautaratibu wake ambao si lazima ufanane na chama kingine. Kama anateseka na muwasho wa kugombea urais wa TZ, ahamie chadomo au kile chama cha mkongoman Zitto, huko atakunwa vizuri tu na atafurahia show.
Na pia huko Marekani watu hawazuiliwi kuwa mashoga na kifanya ushoga.Mwanasiasa ambaye anaonekana Msumbufu kwa kipindi hiki , ameandika huko katika mtandao was Twitter kuhusu Mchakato wa Kumpata Rais Trump wa Marekani kugombea awamu ya pili
View attachment 1487440