Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Hahahaaa. Walahi vile umefanya nimecheka. Lol
Hakika Mkuu atatusaidia.
Nimejikuta nawakumbuka wale waliokuwa wanasema tumesajili mwizi. Kwa uchezaji ule hata kama alikuwa potelea pwete. ππ
Juzi kapandwa yeye halafu akaenda kuwapanda waajiri wakee....View attachment 1336200
Shiboub + Chama + Ajib + Dilunga + Kagere = Morrison.
NOTE : Kagere awe na hirizi.
Walishakumbuka baada ya kupandwa kichwani...Watakukumbuka usemi wako
Tulihifadhi mwili kwa kutumia mercuric chloride...Nani kafukua hili kaburi? Mzoga unanuka huu.
Acheni hizi mambo za kufukua makaburi basi na nyie Mtani. Aaah!!Hii hapa post ya Kiongozi wa Yanga JF, Yanga lia lia namba moja JF ikiandika hivyo.
Acheni hizi mambo za kufukua makaburi basi na nyie Mtani. Aaah!!
Hapana kabla ya mechi ya simba na yanga alikuwa anajifanya simba kumbe huku kwenye nyuzi nyingine nimemkuta yanga lialia ndio nikawa nampa ukweli wakeWe naaae!! π
Zote fitina za simba hizo hilo linajulikanaMorisson kwanza aliupanda mpira. Kisha akaipanda Yanga na mwisho akaishia kupanda bodaboda kwa spidi ya 4G.