Benard Morrison Acha Kabisa...

Benard Morrison Acha Kabisa...

I wish Istokee migomo na changamoto kama misimu kadhaa tuliyo pitia,Morrison hakika ni Mchezaji anaye kushawishi utoroke hata kazini ili usikose burudani yake. Yanga tulimis sana wing a Machachari kana yeye tangu aondoke Saimon Msuva27, pia uwepo was Haruna Nionzima pale kati unaifanya Tim icheze kwa chemistry hatar.
Bado mnatoroka au yeye ndiye anawatoroka
 
Soka letu hili na namna mausajili yanafanyika inakuwa kama kutia mkono kizani.

Mana kipindi huyu jamaa anatua kwetu sidhani kama hata alikuwa na timu zaidi ya historia tu kwamba aliwahi cheza sijui Orlando Pirets (kama sijakosea) [emoji41][emoji41]
hakuwa timu wamemtoa mtaani tu[emoji23][emoji23]

Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
 
Soka letu hili na namna mausajili yanafanyika inakuwa kama kutia mkono kizani.

Mana kipindi huyu jamaa anatua kwetu sidhani kama hata alikuwa na timu zaidi ya historia tu kwamba aliwahi cheza sijui Orlando Pirets (kama sijakosea) 😎😎

Alikuwa pia na historia ya wizi wa magari, na mlisema potelea mbali.
 
Back
Top Bottom