Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Hahahaaa. Walahi vile umefanya nimecheka. Lol
Hii hapa post ya Kiongozi wa Yanga JF, Yanga lia lia namba moja JF ikiandika hivyo.
Hakika Mkuu atatusaidia.
Nimejikuta nawakumbuka wale waliokuwa wanasema tumesajili mwizi. Kwa uchezaji ule hata kama alikuwa potelea pwete. 😂😂