Benazir Bhutto Assassinated!!

Benazir Bhutto Assassinated!!

Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi hila, anayeua kwa upanga lazima naye kuna siku yatamfika.

Kweli ni utamaduni mbaya tuendelee tu na CCM yetu.
Mkuu Maryam

Tunachohitaji ni Maendeleo. Ambayo hayawezi kuletwa na Chama unachokisema milele
 
wajimini dats why i always say siasa is a very dirty game..wakati sie twatumia nguvu za giza like uchawi...wenzetu wanatumia silaha wanazozicreate wao wenyewe...mwisho wake ndo hufikiaga kama huku...halafu without shame wala aibu wakuta USA itamlaumu musharaf wakati ni mshirika wake mkuu na hawataki atoke madarakani...halafu na musharaf naye atajitetea na kutoa pole kwa familia as he is no more mkuu wa majeshi!
 
Huyu mama alijua kabisa kwamba probability ya kulamba mchanga ni 3/4. It was just only a matter of time. May her soul rest in eternal peace.

Any lesson for americans and his allies??? Kifo cha huyu mama kinaongeza pages katika mjadala wa: Exporting Democracy in Islam countries Re-examined.
 
by de way yasemekana alipigwa risasi ya shingoni ndipo jamaa naye akalipua bomu...mimi now najiuliza..hivi hizi bullet [rppf nazo wanazo vaa wakuu ni za kuzuia risasi za kifuanina mgongoni tuu?wataalam zaidi naomba mnisaidie kuhusu hilo
 
lakini sasa hapo wauaji ndo itakua tabu kuwapat je ni taleban na alqaeda au hao wajahidina ambao ndio walikuwa kila wakati wakimtishia kuwa akirudi pakistan wata mwuua ama ni musharaf na bosi wake Bush?
 
Huu ni mpango wa Al Qaeda tu!! Jamaa hawawezi kukubali kuona mwanamke anatawala!!!
 
RIP mama!

May your soul rest in Peace!

Kwa kweli as any other democracy loving human, Iam saddened by this heinous crime!

Al Qaed + US foreign policy + Islamic millitants=???
 
Gharama ya mabadiliko ni kubwa mno; ni gharama ambayo wachache wako tayari kuilipa kwa ajili ya watu wao. Bi. Bhutto alitambua kuwa kurudi kwake Pakistani na kuendelea na harakati za mabadiliko ya kisiasa ni sawa na kujikatia tiketi ya kifo. Hata hivyo hakurudi nyuma wala kusita. Ni gharama ambayo wanaharakati duniani wanakuwa wamezipigia mahesabu kuwa wako tayari kuzilipa. Kwa ajili ya nchi yake na kwa ajili ya watu wake, amelipia damu yake! Kwa sisi wengine anakuwa miongoni mwa mishumaa ya fikra za kimapinduzi duniani!

Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi!!

Very Sad but true,

Hii ni changamoto kubwa sana kwa wapiganaji. Mafisadi na wauaji watafanya kila wawezacho kukatisha tamaa mbegu ya ukombozi. She knew what would happen but yet she went back to Pakistan.

RIP Mama Bhutto, you will always be with us!
 
Watanzania mambo yetu tuongee- kwa amani- kama kuna fisadi ajulikane- apelekwe kwenye vyombo vya sheria - tuongee tu- kwa amani na uvumilivu!

Iwe CCM au CHADEMA au CUF - tujifunze kuvumialina na kuongea kwa upendo- ili kuleta mustahabali wa kifaifa!

Amani na umoja iwe mbele ya tofauti zetu za vyama Tanzania!
 
Very Sad but true,

Hii ni changamoto kubwa sana kwa wapiganaji. Mafisadi na wauaji watafanya kila wawezacho kukatisha tamaa mbegu ya ukombozi. She knew what would happen but yet she went back to Pakistan.

RIP Mama Bhutto, you will always be with us!

Mwafrika wa Kike:

Naomba usome kipande hiki kilichoandikwa na mtoto wa kaka yake Benazir Bhutto.

Aunt Benazir's false promises
http://www.latimes.com/news/opinion/la-oe-bhutto14nov14,0,2482408.story?coll=la-opinion-center

Aunt Benazir's false promises
template_bas
template_bas
Bhutto's return bodes poorly for Pakistan -- and for democracy there.
By Fatima Bhutto
November 14, 2007
KARACHI -- We Pakistanis live in uncertain times. Emergency rule has been imposed for the 13th time in our short 60-year history. Thousands of lawyers have been arrested, some charged with sedition and treason; the chief justice has been deposed; and a draconian media law -- shutting down all private news channels -- has been drafted.

Perhaps the most bizarre part of this circus has been the hijacking of the democratic cause by my aunt, the twice-disgraced former prime minister, Benazir Bhutto. While she was hashing out a deal to share power with Gen. Pervez Musharraf last month, she repeatedly insisted that without her, democracy in Pakistan would be a lost cause. Now that the situation has changed, she's saying that she wants Musharraf to step down and that she'd like to make a deal with his opponents -- but still, she says, she's the savior of democracy.

The reality, however, is that there is no one better placed to benefit from emergency rule than she is. Along with the leaders of prominent Islamic parties, she has been spared the violent retributions of emergency law. Yes, she now appears to be facing seven days of house arrest, but what does that really mean? While she was supposedly under house arrest at her Islamabad residence last week, 50 or so of her party members were comfortably allowed to join her. She addressed the media twice from her garden, protected by police given to her by the state, and was not reprimanded for holding a news conference. (By contrast, the very suggestion that they might hold a news conference has placed hundreds of other political activists under real arrest, in real jails.)

Ms. Bhutto's political posturing is sheer pantomime. Her negotiations with the military and her unseemly willingness until just a few days ago to take part in Musharraf's regime have signaled once and for all to the growing legions of fundamentalists across South Asia that democracy is just a guise for dictatorship.

It is widely believed that Ms. Bhutto lost both her governments on grounds of massive corruption. She and her husband, a man who came to be known in Pakistan as "Mr. 10%," have been accused of stealing more than $1 billion from Pakistan's treasury. She is appealing a money-laundering conviction by the Swiss courts involving about $11 million. Corruption cases in Britain and Spain are ongoing.

It was particularly unappealing of Ms. Bhutto to ask Musharraf to bypass the courts and drop the many corruption cases that still face her in Pakistan. He agreed, creating the odiously titled National Reconciliation Ordinance in order to do so. Her collaboration with him was so unsubtle that people on the streets are now calling her party, the Pakistan People's Party, the Pervez People's Party. Now she might like to distance herself, but it's too late.

Why did Ms. Bhutto and her party cronies demand that her corruption cases be dropped, but not demand that the cases of activists jailed during the brutal regime of dictator Zia ul-Haq (from 1977 to 1988) not be quashed? What about the sanctity of the law? When her brother Mir Murtaza Bhutto -- my father -- returned to Pakistan in 1993, he faced 99 cases against him that had been brought by Zia's military government. The cases all carried the death penalty. Yet even though his sister was serving as prime minister, he did not ask her to drop the cases. He returned, was arrested at the airport and spent the remaining years of his life clearing his name, legally and with confidence, in the courts of Pakistan.

Ms. Bhutto's repeated promises to end fundamentalism and terrorism in Pakistan strain credulity because, after all, the Taliban government that ran Afghanistan was recognized by Pakistan under her last government -- making Pakistan one of only three governments in the world to do so.

And I am suspicious of her talk of ensuring peace. My father was a member of Parliament and a vocal critic of his sister's politics. He was killed outside our home in 1996 in a carefully planned police assassination while she was prime minister. There were 70 to 100 policemen at the scene, all the streetlights had been shut off and the roads were cordoned off. Six men were killed with my father. They were shot at point-blank range, suffered multiple bullet wounds and were left to bleed on the streets.

My father was Benazir's younger brother. To this day, her role in his assassination has never been adequately answered, although the tribunal convened after his death under the leadership of three respected judges concluded that it could not have taken place without approval from a "much higher" political authority.

I have personal reasons to fear the danger that Ms. Bhutto's presence in Pakistan brings, but I am not alone. The Islamists are waiting at the gate. They have been waiting for confirmation that the reforms for which the Pakistani people have been struggling have been a farce, propped up by the White House. Since Musharraf seized power in 1999, there has been an earnest grass-roots movement for democratic reform. The last thing we need is to be tied to a neocon agenda through a puppet "democrat" like Ms. Bhutto.

By supporting Ms. Bhutto, who talks of democracy while asking to be brought to power by a military dictator, the only thing that will be accomplished is the death of the nascent secular democratic movement in my country. Democratization will forever be de-legitimized, and our progress in enacting true reforms will be quashed. We Pakistanis are certain of this.

Fatima Bhutto is a Pakistani poet and writer. She is the daughter of Mir Murtaza Bhutto, who was killed in 1996 in Karachi when his sister, Benazir, was prime minister.


Kama alivyosema mchangiaji mmoja siasa ni mchezo mchafu.
 
Watanzania mambo yetu tuongee- kwa amani- kama kuna fisadi ajulikane- apelekwe kwenye vyombo vya sheria - tuongee tu- kwa amani na uvumilivu!

Iwe CCM au CHADEMA au CUF - tujifunze kuvumialina na kuongea kwa upendo- ili kuleta mustahabali wa kifaifa!

Amani na umoja iwe mbele ya tofauti zetu za vyama Tanzania!


Mambo Nambari oni (Numero Uno, Cislo Jeden) tu.
 
..hata Musharaf naye maisha yake yapo mashakani. Amenusurika zaidi ya mara 3.

..hii itakuwa ni hujuma ya Taliban/Al-Qaeda/Mujahideen/Siasa Kali.

..hata Baba yake Mama Bhutto aliuawa kwa sababu za kisiasa.

..RIP Bhenazir Bhutto.
 
by de way yasemekana alipigwa risasi ya shingoni ndipo jamaa naye akalipua bomu...mimi now najiuliza..hivi hizi bullet [rppf nazo wanazo vaa wakuu ni za kuzuia risasi za kifuanina mgongoni tuu?wataalam zaidi naomba mnisaidie kuhusu hilo

Bullet proof vest haisaidii wala haimzuii mtu kukuua kwa sababu hiyo unaivaa kifuani tu na mwili si kifua peke yake. Kuna miguu, kichwa, shingo, mikono, tumbo, kiuno, n.k. Labda waje na bullet proof suit kama zile za wanaanga (astronauts) zinazokava mwili mzima kuanzia kichwa hadi miguu
 
What do you mean by this? tafadhali sana usiihusishe CCM kwa namna yoyote na hili tukio. Wala Mtanzania yoyote kwa namna yoyote ile.

Fuata thread inavyokwenda na sio kurukia posti yangu.
 
jamani msisahau kwenda shopping,leo ni 75% off,mimi ndio natoka huko,sasa yeye bhutto alikwenda duka ngani mpaka mauti yamemkuta ?
 
Bullet proof vest haisaidii wala haimzuii mtu kukuua kwa sababu hiyo unaivaa kifuani tu na mwili si kifua peke yake. Kuna miguu, kichwa, shingo, mikono, tumbo, kiuno, n.k. Labda waje na bullet proof suit kama zile za wanaanga (astronauts) zinazokava mwili mzima kuanzia kichwa hadi miguu

Kama za Willy Gamba.
 
Bullet proof vest haisaidii wala haimzuii mtu kukuua kwa sababu hiyo unaivaa kifuani tu na mwili si kifua peke yake. Kuna miguu, kichwa, shingo, mikono, tumbo, kiuno, n.k. Labda waje na bullet proof suit kama zile za wanaanga (astronauts) zinazokava mwili mzima kuanzia kichwa hadi miguu

but niliwahi kusikia zina nguvu ya kuvuta risasi kama sumaku ivutavyo chuma ili risasi ielekee kwenye bullet proof otherwise si ingekua haina maana maana ya nini mtu aangaike kupiga kifuani apoteze risasi yake ya ghali wakati anaona kichwa??
ndio maana nikataka wataalam wanaoweza jua zaidi kuhusiana na hizi bullet proof watuelezeee zaidi
 
Back
Top Bottom