Umeona tu ilmradi nawe umeonekana umeandika!Nilitazama mchezo wa Yanga vs Mtibwa Fc niliona kabisa alipaswa kuondoka na Clean sheet bila wasi wasi lakini kilichotokea alifungwa goli la kizembe/la kujitakia.
Mashabiki /wadau wa mpira hawakupiga kelele kwa kua Yanga iliibuka na ushindi mnono wa goli 4 kwa 1.
Ukitazama goli la Mtibwa sugar mfungaji alilifunga akiwa katikati ya uwanja baada yakuona Diara katoka golini akapiga mpira wakapata goli la kufutia machozi.
Hii siyo Mara ya kwanza Diara amekua na Tabia ya kutoka golini ipo siku timu itakosa point tatu muhi kwa uzembe/kujiamini sana kwa Diara.
Mfungaji wa goli la Mtibwa alisema "madhaifu ya kipa Diara ni kujiamini sana na ndiyo maana nilipiga mpira golini nikafunga"
Nichukue Fursa hii kuliambia benchi la ufundi la Yanga Sc kuwa waongee na Diara apunguze over confidence ipo siku ataikost timu kimasihara sihara.
Nawasilisha hoja.View attachment 2849810
Yule Ayubu ni golikipa mzuri sana tu. Sema walinzi wake ndiyo wenye shida. Kuna wakati wanakabia macho, na hivyo kusababishia aonekane ni pazia.Tuwape Ayubu mtupe Diara
Oyaa huyo Onana ni mwehu mtoe kwenye listModern football inahitaji kipa ajiamini awe half beki kuanzia kwa Allison Becker, David Raya, Enderson , Andre Onana, Manuel Neuer , Donnaruma, Mike Maignan , Ter Stegen.
Na goli alilofungwa Djigui Diarra ni moja ya Changamoto ambayo haiepukiki kwa makipa ambao ni ball play
ANAMTAJA ONANA WAKATI NI KIPA AMBAYE WATU WANAJIPIGIA TU [emoji23]Oyaa huyo Onana ni mwehu mtoe kwenye list
Jamaa kafanana sana na mtoto wa Mayele, maisha Yana Siri nzitoNilitazama mchezo wa Yanga vs Mtibwa Fc niliona kabisa alipaswa kuondoka na Clean sheet bila wasi wasi lakini kilichotokea alifungwa goli la kizembe/la kujitakia.
Mashabiki /wadau wa mpira hawakupiga kelele kwa kua Yanga iliibuka na ushindi mnono wa goli 4 kwa 1.
Ukitazama goli la Mtibwa sugar mfungaji alilifunga akiwa katikati ya uwanja baada yakuona Diara katoka golini akapiga mpira wakapata goli la kufutia machozi.
Hii siyo Mara ya kwanza Diara amekua na Tabia ya kutoka golini ipo siku timu itakosa point tatu muhi kwa uzembe/kujiamini sana kwa Diara.
Mfungaji wa goli la Mtibwa alisema "madhaifu ya kipa Diara ni kujiamini sana na ndiyo maana nilipiga mpira golini nikafunga"
Nichukue Fursa hii kuliambia benchi la ufundi la Yanga Sc kuwa waongee na Diara apunguze over confidence ipo siku ataikost timu kimasihara sihara.
Nawasilisha hoja.View attachment 2849810
KWA HIYO UNATAKA KUSEMAJE??Jamaa kafanana sana na mtoto wa Mayele, maisha Yana Siri nzito
🤣🤣Nilitazama mchezo wa Yanga vs Mtibwa Fc niliona kabisa alipaswa kuondoka na Clean sheet bila wasi wasi lakini kilichotokea alifungwa goli la kizembe/la kujitakia.
Mashabiki /wadau wa mpira hawakupiga kelele kwa kua Yanga iliibuka na ushindi mnono wa goli 4 kwa 1.
Ukitazama goli la Mtibwa sugar mfungaji alilifunga akiwa katikati ya uwanja baada yakuona Diara katoka golini akapiga mpira wakapata goli la kufutia machozi.
Hii siyo Mara ya kwanza Diara amekua na Tabia ya kutoka golini ipo siku timu itakosa point tatu muhi kwa uzembe/kujiamini sana kwa Diara.
Mfungaji wa goli la Mtibwa alisema "madhaifu ya kipa Diara ni kujiamini sana na ndiyo maana nilipiga mpira golini nikafunga"
Nichukue Fursa hii kuliambia benchi la ufundi la Yanga Sc kuwa waongee na Diara apunguze over confidence ipo siku ataikost timu kimasihara sihara.
Nawasilisha hoja.View attachment 2849810
Leo ni goli la ngapi Kwa uzembe wake??Modern football inahitaji kipa ajiamini awe half beki kuanzia kwa Allison Becker, David Raya, Enderson , Andre Onana, Manuel Neuer , Donnaruma, Mike Maignan , Ter Stegen.
Na goli alilofungwa Djigui Diarra ni moja ya Changamoto ambayo haiepukiki kwa makipa ambao ni ball play
Mfanano ndo hii ya leo na KengoldKama kuna mfano mwingine tofauti na lile goli la mtibwa takubaliana na wewe sababu kulikua na foul ndio maana akasogea ila refa aka kausha