Benchi la ufundi la Yanga SC linapaswa kumkanya kipa Diara apunguze kujiamini sana, ipo siku ataitumbukiza timu kwenye shimo la hewa

Benchi la ufundi la Yanga SC linapaswa kumkanya kipa Diara apunguze kujiamini sana, ipo siku ataitumbukiza timu kwenye shimo la hewa

Nilitazama mchezo wa Yanga vs Mtibwa Fc niliona kabisa alipaswa kuondoka na Clean sheet bila wasi wasi lakini kilichotokea alifungwa goli la kizembe/la kujitakia.

Mashabiki /wadau wa mpira hawakupiga kelele kwa kua Yanga iliibuka na ushindi mnono wa goli 4 kwa 1.

Ukitazama goli la Mtibwa sugar mfungaji alilifunga akiwa katikati ya uwanja baada yakuona Diara katoka golini akapiga mpira wakapata goli la kufutia machozi.

Hii siyo Mara ya kwanza Diara amekua na Tabia ya kutoka golini ipo siku timu itakosa point tatu muhi kwa uzembe/kujiamini sana kwa Diara.

Mfungaji wa goli la Mtibwa alisema "madhaifu ya kipa Diara ni kujiamini sana na ndiyo maana nilipiga mpira golini nikafunga"

Nichukue Fursa hii kuliambia benchi la ufundi la Yanga Sc kuwa waongee na Diara apunguze over confidence ipo siku ataikost timu kimasihara sihara.

Nawasilisha hoja.View attachment 2849810
Umeona tu ilmradi nawe umeonekana umeandika!
Kila kipa/beki duniani lazima afanye kosa ili mpinzani afunge bao.
Kila kosa ni uzembe.
 
1. Aache tabia mbaya ya kujifanya ameumia wakati akiona wamepata goli la kuongoza na matokeo yake analimwa kadi.

2. Aache kuwa na kihoro kwa kuacha goli na kukimbilia mpira nje ya eneo lake.
 
Tuwape Ayubu mtupe Diara
Yule Ayubu ni golikipa mzuri sana tu. Sema walinzi wake ndiyo wenye shida. Kuna wakati wanakabia macho, na hivyo kusababishia aonekane ni pazia.
 
Si bora wewe unasema sasa? Mimi zile mechi zote za CAFCC mwaka jana hasa kuanzia robo fainali kila mechi lazima pressure iwe juu kila Diarra akiwa na mpira!

Nilikuwa sina amani na nilipiga kelele sana.
Siku hizi nimemzoea wala sina wasiwasi tena.
 
Modern football inahitaji kipa ajiamini awe half beki kuanzia kwa Allison Becker, David Raya, Enderson , Andre Onana, Manuel Neuer , Donnaruma, Mike Maignan , Ter Stegen.
Na goli alilofungwa Djigui Diarra ni moja ya Changamoto ambayo haiepukiki kwa makipa ambao ni ball play
Oyaa huyo Onana ni mwehu mtoe kwenye list
 
Nilitazama mchezo wa Yanga vs Mtibwa Fc niliona kabisa alipaswa kuondoka na Clean sheet bila wasi wasi lakini kilichotokea alifungwa goli la kizembe/la kujitakia.

Mashabiki /wadau wa mpira hawakupiga kelele kwa kua Yanga iliibuka na ushindi mnono wa goli 4 kwa 1.

Ukitazama goli la Mtibwa sugar mfungaji alilifunga akiwa katikati ya uwanja baada yakuona Diara katoka golini akapiga mpira wakapata goli la kufutia machozi.

Hii siyo Mara ya kwanza Diara amekua na Tabia ya kutoka golini ipo siku timu itakosa point tatu muhi kwa uzembe/kujiamini sana kwa Diara.

Mfungaji wa goli la Mtibwa alisema "madhaifu ya kipa Diara ni kujiamini sana na ndiyo maana nilipiga mpira golini nikafunga"

Nichukue Fursa hii kuliambia benchi la ufundi la Yanga Sc kuwa waongee na Diara apunguze over confidence ipo siku ataikost timu kimasihara sihara.

Nawasilisha hoja.View attachment 2849810
Jamaa kafanana sana na mtoto wa Mayele, maisha Yana Siri nzito
 
Daah ukimwangalia kipa wa Mamelodi ndio balaa ya kipa anaanzishiwa mpira na beki na muda wote wanafanya hivyo harafu beki anafungua aliefungua hapewi pass anapewa pass mwingine kabisa..unamlaumu Diara pass zake nyingi ni ndefu ila ana kiwango kikubwa cha usahihi zile mambo za Aswile kama kumwanya kwenye Morden football hazipo..makosa yapo wapo wengine wanasababisha hadi tuta Diara aliwahi fanya kosa goli la kwanza la Simba ila ni makosa machache kuliko faida ya kuchezea mpira wacha niwashe TV niendelee kuangalia usahihi wa Pass za kipa hapa...
 
Nilitazama mchezo wa Yanga vs Mtibwa Fc niliona kabisa alipaswa kuondoka na Clean sheet bila wasi wasi lakini kilichotokea alifungwa goli la kizembe/la kujitakia.

Mashabiki /wadau wa mpira hawakupiga kelele kwa kua Yanga iliibuka na ushindi mnono wa goli 4 kwa 1.

Ukitazama goli la Mtibwa sugar mfungaji alilifunga akiwa katikati ya uwanja baada yakuona Diara katoka golini akapiga mpira wakapata goli la kufutia machozi.

Hii siyo Mara ya kwanza Diara amekua na Tabia ya kutoka golini ipo siku timu itakosa point tatu muhi kwa uzembe/kujiamini sana kwa Diara.

Mfungaji wa goli la Mtibwa alisema "madhaifu ya kipa Diara ni kujiamini sana na ndiyo maana nilipiga mpira golini nikafunga"

Nichukue Fursa hii kuliambia benchi la ufundi la Yanga Sc kuwa waongee na Diara apunguze over confidence ipo siku ataikost timu kimasihara sihara.

Nawasilisha hoja.View attachment 2849810
🤣🤣
 
Modern football inahitaji kipa ajiamini awe half beki kuanzia kwa Allison Becker, David Raya, Enderson , Andre Onana, Manuel Neuer , Donnaruma, Mike Maignan , Ter Stegen.
Na goli alilofungwa Djigui Diarra ni moja ya Changamoto ambayo haiepukiki kwa makipa ambao ni ball play
Leo ni goli la ngapi Kwa uzembe wake??
 
Back
Top Bottom