Benchi la ufundi Simba lapigwa chini

Benchi la ufundi Simba lapigwa chini

Tanzania kila mtu ni kocha, yaani nchi ina mamilioni ya makocha wa mpira. It's very strange.
vumilia tu hao makocha kila siku wanbembelezwa waende uwanjani sasa hatuendi tena tuwaachie makocha wa ukweli wakae wenyewe uwanjani na kujishangilia wenyewe
 
Bongo buana, timu ikishapigwa uwanjani basi utaanza kuona rangi za viongozi...

Kwani Simba ni nani hata asifungwe...!!!
 
Tuache majungu, mpira ni mchezo wa wazi. Mbinu za kocha zilifeli, wachezaji Kama Bocco, Wawa ni wazee hawatufai. Hakuna hujuma yoyote
Acha uongo wewe. Bocco angekuwa mzee angefunga goli 2 tena ugenini? Mbona hao vijana kwenye timu hawakufunga hata pass hawajatoa
 
View attachment 1986344
MTOTO MDOGO WEEE KAMA NDUGU YAKO NI MOJAWAPO YA YALE MADUKA MANNE PALE NYUMA KATIKA DEFENCE YA WATU WATANO ILIYOCHEZA UKIMTOA INONGA MTAZITAPIKA TU ***** TUTAWAPIGA ALBADIRI HADI MUWE VIWETE...UEMONA HIYO TWEET YA MAGORI ? KAMUULIZE SASA UTHIBITISHO..MBWEHA WEWE MATAPELI TU NYIE MNAISHI MJINI KWA KUUZA MECHI NA KUUMIZA MIOYO YA MAMILIONI YA WATU
Hizi hasira ungezipeleka Makao Makuu ya klabu yako, si muda huu mngekuwa mnagawana fito na tajiri yako Moo kwa kukichafua!!

Sasa kwa bahati mbaya unazitumia tu humu kubwekea bwekea watu kama mbwa koko vile!! Kwa nini usikubali tu ukweli! Timu yako msimu huu ni tia maji tia maji! Unamtafuta mchawi, na wakati timu yako imejaa wachezaji wazee na vijana wapya mayai mayai, na wasio na uzoefu wa mikiki mikiki uwanjani!!
 
Habari ambazo hazijathibitishwa ni kwamba benchi la ufundi limepigwa chini , kama ni kweli ni sawa tu ingawa Hitimana kaonewa
Mzungu keshachachawa hajui tena hata kufanya sub na mapenzi binafsi kwa wachezaji kama wawa yemepitiliza

Matola kwa kweli kama tunayoyasikia ni kweli basi ulaaniwe sana wewe na wenzako na washkaji wenu waliocheza jana maana ni maduka yalikuwa kazini kwenye defence kasoro mkongo Inonga nakumbuka hadi kapombe alienda kuzuia ule mpira uliokuwa unaingia golini kwa wapinzani

Tafadhali fukuzeni matola na Gomez tu na mratibu wa team Abbas Gaza achunguzwe kwa umakini sana. PESA NA USALITI NI VITU VYA KUTISHA SANA
Yule msouth wa yanga ndio sumu ya soka la Tanzania
 
Habari ambazo hazijathibitishwa ni kwamba benchi la ufundi limepigwa chini, kama ni kweli ni sawa tu ingawa Hitimana kaonewa
Mzungu keshachachawa hajui tena hata kufanya sub na mapenzi binafsi kwa wachezaji kama wawa yemepitiliza

Matola kwa kweli kama tunayoyasikia ni kweli basi ulaaniwe sana wewe na wenzako na washkaji wenu waliocheza jana maana ni maduka yalikuwa kazini kwenye defence kasoro mkongo Inonga nakumbuka hadi kapombe alienda kuzuia ule mpira uliokuwa unaingia golini kwa wapinzani

Tafadhali fukuzeni matola na Gomez tu na mratibu wa team Abbas Gaza achunguzwe kwa umakini sana. PESA NA USALITI NI VITU VYA KUTISHA SANA
Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa simba iliuza mechi au kuhujumiwa na baadhi ya wachezaji, au benji la ufundi. Timu inapita katika kipindi cha mpito kwa sasa. Tusitafute mchawi
 
Mimi nachojua wale jamaa hatujawaloga basi hayo mengine ni yenu....


Ila kama wangelogwa wale hata bao moja wasingepata
Na fungu la kurogea limetolewa wajanja wamekula wameingiza timu uwanjani kavukavu ikacheze mpira, matokeo ndio yale.

Ile ndio Simba halisi bila kuchanganya na mazingaombwe, ule ndio uwezo wao halisi, wamekaa kambi Morocco mwezi mzima then Arusha, kuja Simba day wakapigwa na TP Mazembe mbovu, mnataka ushahidi upi tena ili kuamini hapo hakuna timu?

Hivi Boko, Morrison hawa utawafundisha kipi kipya?
 
Unamwachaje nje Mzamiru,the most interceptional player msimu ulopita
 
Habari ambazo hazijathibitishwa ni kwamba benchi la ufundi limepigwa chini, kama ni kweli ni sawa tu ingawa Hitimana kaonewa
Mzungu keshachachawa hajui tena hata kufanya sub na mapenzi binafsi kwa wachezaji kama wawa yemepitiliza

Matola kwa kweli kama tunayoyasikia ni kweli basi ulaaniwe sana wewe na wenzako na washkaji wenu waliocheza jana maana ni maduka yalikuwa kazini kwenye defence kasoro mkongo Inonga nakumbuka hadi kapombe alienda kuzuia ule mpira uliokuwa unaingia golini kwa wapinzani

Tafadhali fukuzeni matola na Gomez tu na mratibu wa team Abbas Gaza achunguzwe kwa umakini sana. PESA NA USALITI NI VITU VYA KUTISHA SANA
Mtatafuta sana mchawi mwaka huu

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Tusilolijuwa sawa na usiku wa giza.

Nanusa mchezo katika kichapo hiki.
Nafikiri timu ilipanga kutolewa ili ijikite katika mashindano ya confederation cup.
Ni Hisia tu !
 
Tatizo Ni kocha ..yaan kila nikiiangalia kikosi Cha kwanza huwa sioni matumaini..timu inawachezaji wazuri Ila Gomez kaishiwa mbinu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mtaalam was kuuza mechi Simba ni kapombe na manula, nilishaeleza Sana
Mechi zote tulizofungwa na yanga wanahusika.
Kapombe alishafungisha kwa shiti la mauya kugonga kifua
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa simba iliuza mechi au kuhujumiwa na baadhi ya wachezaji, au benji la ufundi. Timu inapita katika kipindi cha mpito kwa sasa. Tusitafute mchawi
Bora wewe unajielewa na unatumia akili yako kudadavua mambo,na sio wengi hasa mleta mada ambae akili yake kamkabidhi Mwamedi na Magori. Yaani Viongozi wa Mikia washajua kucheza na akili zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom