Benchi la ufundi Simba

Hakika mkuu. Tactically coach wa simba ana mapungufu mengi sana. Ukitazama mechi zote ambazo simba anakutana na wapinzani wenye kupush timu inakuwa haina utulivu, No urgency,. Unamuacha chama anacheza dk 90, huku unaanza na kiungo mkabaji mmoja...poor game plan
 
Aaaaaaah! unatudanganya, haya ungeyaongea toka mechi kabla ya Yanga,Na tulishakubaliana kabla ya mechi msije mkamsema vibaya mchezaji yoyote wala coaching team endapo mtapoteza mchezo, sasa imekuaje tena?[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani haya umeyajua leo, mechi za Ndanda mboma hamkuongea haya, acheni mambo hayo bhana, mlikuwa mnajimwambafai mtashinda 4-1, zikwapi sasa????? endeleeni kupiga ramli uhalisia wa mpira upo uwanjani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani haya umeyajua leo, mechi za Ndanda mboma hamkuongea haya, acheni mambo hayo bhana, mlikuwa mnajimwambafai mtashinda 4-1, zikwapi sasa????? endeleeni kupiga ramli uhalisia wa mpira upo uwanjani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena mechi dhidi ya Azam kocha akaonekana bonge la kocha, na hadi Mwenyetimu (Mo Dewji) akampa kongole kocha baada ya mechi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani haya umeyajua leo, mechi za Ndanda mboma hamkuongea haya, acheni mambo hayo bhana, mlikuwa mnajimwambafai mtashinda 4-1, zikwapi sasa????? endeleeni kupiga ramli uhalisia wa mpira upo uwanjani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapungufu ya benchi hasa kimbinu kwa head coach wa simba yapo wazi , labda kama sio mfuatiliaji wa mpira
 
Kweli kabisa, hata kesho akiingia na game plan kama ya leo mbele ya Yanga tunafungwa.

Mkude hawezi kucheza defensive midfield peke yake kwenye mpira wa kasi na nguvu kama wa Yanga.

Nyuma yake alitakiwa kuwepo Fraga. Mkude hata hivyo ana bahati sana alitakiwa apewe kadi nyekundu kwa faulo iliyosababisha goli, ambayo haikuwa na sababu yoyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sven na Aussems wote hawajui kubadili mbinu uwanjani, wanacheza namna moja wakati wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba wamesawazisha ndugu wasikilizaji[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

kilicho akilini kitumie
 
Kwa upande wangu kufungwa leo Ni kosa la benchi la ufundi. Tulikwisha ambiwa Yanga wamewatumia wasauzi kufanya analysis za mapungufu ya simba. Na timu yetu haijawahi kubadilisha mfumo. Hivyo kocha alitakiwa ajue kwamba benchi la yanga lilikuwa limefanya Nguvu kubwa kuharibu mbinu ya timu.

Nilitegemea kumuona kocha akibadili plan na hata kubadilisha kikosi kwa kuwaacha nje baadhi ya wachezaji.

Yanga walituzidi kimbinu, pasi fupifupi zilituua sana, mabeki na viungo wa Yanga walikuwa wanapata nafasi ya kurudi na kukaba. Tulipoamua kupiga mipira mirefu tulikuwa tukifika golini.

POOR AND INEXPERIENCED COACH

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa lilikuwa katikati Mkude Alizidiwa Kocha na kocha alitakiwa aongeze Holding Midfilder..

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndiyo ubovu wa kocha, Hana plan ya ziada na akizidiwa hawezi ku badirisha chochote. Mkude alizidiwa kwa sababu viungo wote wa juu walikuwa slow. Kwenye mechi zingine inaweza isionekane tatizo ila mechi inayohitaji mbinu kama leo lazima kocha ubadirike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…