kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Illuminati/free society[emoji23][emoji23]dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Illuminati/free society[emoji23][emoji23]dah
Huyo bench Bado hawajamfukuza tu ???
Wachezaji hao hao kina Jobe na Fredwaa? Yaani seriously uwalinganishe kina Baleke na Phiri na hao jamaa.Huyu kocha imetokea tu wana Simba kumpenda ndio maana hakuna anayefikiria swala la mbinu, ufundi, au upangaji wa kikosi bali lawama zinamuangukia Mangungu na Try again. Ila ukiangalia Simba ya misimu kadhaa nyuma ilikuwa sio bora ila makocha waliweza kutembea nayo kwa mbunu.
Robertinho kacheza na wachezaji hao hao wa kikosini na akaweza kuwabana ipasavyo Al Ahly. Robertinho kaondolewa sio kwa takwimu bali aina ya mpira na kufungwa na Yanga goli nyingi. Benchikha katupa taulo mapema kabisa.
Umempa za uso.Nyie ndio mnafanya Manara aonekane mkweli kuhusu JK na baba yake, kwa hiyo wewe mechi ya CAF umeona dhidi ya Al Ahly tu? ya Wydad, Asec na Jwaneng hukutazama ndugu Mwakarobo first year class of 2024?