Benchika: wachezaji wa Simba ni wagumu sijawahi kuona, nisilaumiwe mimi

Benchika: wachezaji wa Simba ni wagumu sijawahi kuona, nisilaumiwe mimi

Timu ya simba kila msimu inasukwa upya, tena kwa mbwembwe nyingi kweli kweli. Ila ligi inapoanza kuchanganya, wachezaji nao wanaanza kupoteana.
 
Shida sio wachezaji. Bali mbinu na wana cheza wapi. Kanoute wa kucheza 9 kweli?si katumwa yule midevu kuharibu timu.?sioni tatizo kwa wachezaji ila mwalimu kaishiwa mbinu.
Huo ni uongo, kanoute hakupangwa 9.
Simba hamna wachezaji, misimu miwili mnasajili watu wasio na uwezo. Mtabadilishanmakocha lakin hakuna mtaloweza ku tibu.
Yanga wanapata wapi wachezaji?
 
Sio kwamba ni wachezaji wagumu,bali kuna wachezaji wasaliti sana kwenye timu.
Siogopi kusema lakini Inonga ni bora Simba waachane naye.
Aliumia kiukweli kweli
 
Shida sio wachezaji. Bali mbinu na wana cheza wapi. Kanoute wa kucheza 9 kweli?si katumwa yule midevu kuharibu timu.?sioni tatizo kwa wachezaji ila mwalimu kaishiwa mbinu.
Sasa angempanga Boko? Maana Kibu Denis ndio bure kabisa miguvu mingi akili hamna wala kipaji hana.
 
Hio ni tactical switch ikikubali unaonekana genius, iki fail unaonekana bogus
AONDOKE.timu inacheza ovyoo. Kucheza vibaya sio kosa.kosa ni kushindwa kupanga kikosi chako.anazidiwa hadi na mgunda.kila mtu mpange kwenye namba yake. Kwa sasa sina cha kuwalaumu wachezaji
 
Mtamlaumu huyo kocha bure, Simba wachezaji wengi wamechoka kwani umri umewapa kisogo.
 
BENCHIKA: WACHEZAJI WANGU NI WAGUMU KUELEWA, NISILAUMIWE MIMI.

Tangu nimeanza kufundisha mpira sikuwai kukutana na timu yenye wachezaji wagumu kuelewa kama hii simba timu inacheza tofauti kabisa na matakwa yangu.

Nitaongea tena na viongozi wangu kama nitakubaliwa kuunda timu yangu upya msimu ujao ili niandae list yangu ya wachezaji nitakaoweza kuunda timu bora Africa...

ila kama watashindwa kukubaliana na mimi basi watambue kuwa CV yangu sijaitengeza na pesa nashuka CV yangu kila kukicha naweza kufanya maamuzi sahihi.

Benchikah, kocha wa Simba SC.

View attachment 2969946
We jamaa wewe.
 
Na sijui kwanini TCRA isivifungie leseni hivi vi online tv uchwara. Habari zao nyingi ni uongo na upotoshaji tu.
Yani online tv ndio bure kabisa unakuta heading na alichoongea mhusika vitu viwili tofauti , Watu mabingwa sana kutengeneza title zao
 
Back
Top Bottom