Bendera mpya ya Syria yapandishwa Leo katika ubalozi wa nchi hiyo Mjini Moscow Urusi

Bendera mpya ya Syria yapandishwa Leo katika ubalozi wa nchi hiyo Mjini Moscow Urusi

Mrusi kashajua Assad kapigwa mpaka kakimbia.

Mrusi anajua kuwa ana base za kijeshi Syria na bado anazitaka, hivyo ni muhinu aendeleze mahusiano na serikali mpya.

Mrusi amekubali ukweli kwamba, kwenye diplomasia hakuna rafiki wa milele wala adui wa milele, kuna interests za nchi tu.

Hivyo ndivyo chess linavyochezwa.
Mkuuu ukiachana na yote uliyosema, kiukweli natamanig sana kujua mchezo wa chess siju naanzia wapi?!
 
We endelea kuota huko ulipo mchamba wima kama unataka kuwamaliza wazayuni nenda wewe mfia dini uchwara ukiwa nyuma ya kiboard na msuli wa kanga ya dada yako, wenzio huko sasaivi wanawaza kujenga nchi yao wewe umekalia ujinga tu, wakati hata sauti ya mpasuko wa tairi ya pikipiki unakukimbiza, nguruwe wewe 🐖🐖
Nilijua una hoja kumbe na wewe una chuki kama walizonazo mayahudi wenzako kwa waislam nenda kazuie basi mayahudi hawatashinda vita
 
Acha kumdanganya. Ni juzi hapa Urusi alikuwa akiwarushia mabomu waasi. Urusi na Iran wamezidiwa.
Kama wamezidiwa mbona Israel na hao LBGTQ wenzako walisema adui yao No.1 ni Iran na Russia kwanini hawapambani nao direct kuwaondoa?
 
Mkuu kwann unasema watanzania bado hawajaamua? Ww si mtanzania kwan?
Hili ni jambo la kitaifa linataka ifikiwe critical mass. Wawepo watu wa kutosha walioamua.

Hata kama kuna baadhi ya Watanzania wameamua, hawajafikia hiyo critical mass inayotakiwa.
 
Lao moja hao, Assad si ajabu kapisha waasi kwa makubaliano maalum!
Mkataa kwao mtumwa, hawezi kuwa mtumwa Urussi!!
Siiajabu pakipoa anarudi zake Syria, chemba anakula kwa mrija tu
 
Ukweli ni kuwa hiyo serikali mpya ya Siria itakuwa pro Russia zaidi, tena pengine kuliko hata ya Assad.
 
Back
Top Bottom