Bendera mpya ya Syria yapandishwa Leo katika ubalozi wa nchi hiyo Mjini Moscow Urusi

Bendera mpya ya Syria yapandishwa Leo katika ubalozi wa nchi hiyo Mjini Moscow Urusi

Kwenye diplomasia ubalozi unachukuliwa ni territory ya nchi husika sio ile host state. Kwa hivyo waliopandisha bendera ni wa Syria sio urusi.
Ila kuipandisha ni lazima kwanza serikali ya nchi ambako ubalozi upo itambue serikali inayo tumia bendera hiyo.
 
Wewe ndiyo unataka kuleta ubishi usiokuwa na maana, suala la ubalozi wa tz kuwepo marekani Lile eneo la ubalozi linatambulika ni ardhi ya tz lakini haiondoi maana ya kusema Hilo eneo la tz lipo marekani,

Hapo ubalozi wa Syria uliopo urusi ulipandisha bendera mpya, hapo limetaja urusi ili kuleta maana

Labda nikuulize ubalozi wa Syria uliopo urusi, marekani na ufaransa kwa mtazamo wako unaweza ukaelezea vipi kwa pamoja na ukaeleweka????

Wewe ndio hujaelewa. Kidiplomasia pale ni Syria. Nikupe mfano Kipindi cha mauaji ya kimbari pale Rwanda, wale interahanwe walishindwa kuingia kwenye ubalozi wa Tanzania na kuwaua watutsi au watanzania waliokuwa wamejificha mle. Kwa sababu kuvamia mle ingekuwa ni sawa na kuvamia territory ya Tanzania. Kasome kesi ya Kimataifa ya the asylum case Peru v Colombia.
 
Hamna cha chess wala nini Pro NATO mmepigwa chenga za maudhi na DUBU,ngoja mtaona baadae kwamba chui kavishwa ngozi ya kondoo kwanza

Duh! Juzi hapa mlikuwa mnadai Assad hatoki madarakani. Tena Russia alipowashambulia waasi pale Alepo makadai ameingia mzigoni. Leo mmekimbilia kwa Pro NATO kupigwa chenga.
 
Nina wazo...
Kwanini tusitafutane wana jf kama watano hivi alafu tumkamate huyu Kiranga tumpigee weeeeh....

Alafu tunamfunga kamba tunamchapa bakora za mgongoni...
Haiwezekani anatufanya sisi watoto na mambo yake ya mantiki sijui ukweli😄😄😄😄😄😄😄😄😄

Mkifanya hivyo mtakuwa mmetumia hoja ya nguvu badala ya nguvu ya hoja na kuthibitisha kuwa hamna mantiki wala ukweli wa hoja.
 
Wewe ndio hujaelewa. Kidiplomasia pale ni Syria. Nikupe mfano Kipindi cha mauaji ya kimbari pale Rwanda, wale interahanwe walishindwa kuingia kwenye ubalozi wa Tanzania na kuwaua watutsi au watanzania waliokuwa wamejificha mle. Kwa sababu kuvamia mle ingekuwa ni sawa na kuvamia territory ya Tanzania. Kasome kesi ya Kimataifa ya the asylum case Peru v Colombia.
Hakuna anayepinga Hilo nakubaliana nae kabisa,

Kitendo Cha kusema ubalozi tayari umemaanisha hicho ulichosema au neno ubalozi katika definition yake na hicho Unachosema

Tunapinga jamaa aliposema kuwa huo ubalozi wa Syria haupo urusi
 
Wewe ndio hujaelewa. Kidiplomasia pale ni Syria. Nikupe mfano Kipindi cha mauaji ya kimbari pale Rwanda, wale interahanwe walishindwa kuingia kwenye ubalozi wa Tanzania na kuwaua watutsi au watanzania waliokuwa wamejificha mle. Kwa sababu kuvamia mle ingekuwa ni sawa na kuvamia territory ya Tanzania. Kasome kesi ya Kimataifa ya the asylum case Peru v Colombia.
Hiki ndicho alichokiandika jamaa kupinga alichokiandika mleta mada, Sasa hii comment halafu linganisha na alichokiandika mleta mada 👇👇👇



Hilo eneo ilipopandishwa bendera SIO Russia bali ni Syria. Hivyo Russia HAWEZI kwa namna yoyote kuwazuia Wasyria kufanya chochote kwenye ardhi yao ili mradi tu hawavunji makubaliano ya "The Vienna Convention".
 
Hiki ndicho alichokiandika jamaa kupinga alichokiandika mleta mada, Sasa hii comment halafu linganisha na alichokiandika mleta mada 👇👇👇



Hilo eneo ilipopandishwa bendera SIO Russia bali ni Syria. Hivyo Russia HAWEZI kwa namna yoyote kuwazuia Wasyria kufanya chochote kwenye ardhi yao ili mradi tu hawavunji makubaliano ya "The Vienna Convention".
Una elimu ndogo juu ya dipromasia huwezi kupandisha bendera kwenye nchi fulani bila serikali ya nchi hiyo kuitambua serikali yenye bendera hiyo bendera.
Na ndio maana ili ubalozi fulani uwe kwenye nchi fulani ni lazima hiyo nchi iwe imeridhia muanzishe mahusiano ya kidipromasia na ana uwezo wa kuamuwa huo ubalozi uondolewe kwenye nchi yake.
 
Mkifanya hivyo mtakuwa mmetumia hoja ya nguvu badala ya nguvu ya hoja na kuthibitisha kuwa hamna mantiki wala ukweli wa hoja.
Yaani hiyo mantiki utajua wewe ila naandaa mpango tukikukamata ni misumari tuu..
Haiwezekani unasumbua wenzako hivi😄😄😄😄
 
Hahaa. Kwa nini unaandika hivyo mkuu?
Mwenzako anasema ishu ya mantiki.. wee unasema ndo ukweli...
Akisema akubali ni ukweli. Wewe unasema ukweli wa mantiki .

Unakua unamuacha mwenzako njia panda that why nasema kuna siku tutakushika tukupige kwanza 😄
 
Back
Top Bottom