Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Hifadhi anaipata wapi?Hapo mwondoe Assad..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hifadhi anaipata wapi?Hapo mwondoe Assad..
😂😂😂😂😂Nje ya mada mkuu Kumb radhi ....
Cheki hiyo missed call hapo juu ,usije pishana na Dili la hela....
Huwezi kupeperusha bendera ya serikali ambayo haitambuliwi na nchi husika.Dogo diplomatic issues huzielewi. Ingelikuwa busara zaidi ukauliza nilimaanisha nini. Labda nikusaidie. Eneo lolote linalotambuliwa kama ni la ubalozi wa nchi fulani ndani ya nchi nyengine, basi kwa kutumia The Vienna Convention hilo ni eneo la nchi yenye ubalozi husika na ndio maana wanapeperusha bendera ya nchi yao. Sijui umenielewa???
Nyie hata msipopandisha yeyote ile hamna effectNa sisi Tanganyika tumepandisha bendera mpya ya Syria ama bado inapandishwa ya zamani?
😃😃Watu wengine bila ya kufanya hivyo hawawezi kuelewa
Hakuna anayepinga unachokisema uko sahihi, lakini ninachopinga ni wewe kukataa kuwa ubalozi wa Syria uliopo urusi umepandisha bendera mpya na ukasema kuwa kuwa ubalozi wa Syria umepandisha bendera Syria wakati ubalozi upo urusiNimekuwekea hapo "The Vienna Convention". Nenda kaisome. Msinichoshe na kutokuelewa kwenu. Hili sio darasa.
Haya mambo kiukweli yananichanganya Bado sijaelewa picha inayochezwa hapa.
Leo katika Hali inayoonesha kuwa Urusi imeutambua rasmi uongozi wa mpito wa waasi wa Syria imepokea mabadiliko ya bendera ya taifa hilo katika ubalozi wa nchi hiyo huko Moscow Urusi na bendera hiyo mpya kupandishwa na ya zamani kuteremshwa.
Kwa wanaojua vizuri masuala ya kidiplomasia ni mpaka nchi mwenyeji aridhie balozi ndio mambo mengine yaendelee. Wakati huo huo Assad aliyekua Rais wa Syria nae yupo urusi akiwa kapatiwa hifadhi ya kibinadamu.
Acha tuone mbele kitatokea nini.View attachment 3173096
Hilo eneo ilipopandishwa bendera SIO Russia bali ni Syria. Hivyo Russia HAWEZI kwa namna yoyote kuwazuia Wasyria kufanya chochote kwenye ardhi yao ili mradi tu hawavunji makubaliano ya "The Vienna Convention".
New Syrian Government Flag raised over Syrian embassy in Russia . Haya soma kwa kiingereza labda utaelewa
Mkuu mwenye macho haambiwi tazama, sasa ni wazi kwamba waliochukua nchi Syria ndio wenye ubavu wa kupambana na Israel Assad alikuwa tepetepe, Assad alikuwa hana majibu alipokuwa akishambuliwa na mazayuni sasa wanaume wameishika kambi subiri mziki uanze.,
Ivi wewe huoni kwamba Assad amekuwa laini sana kupinduliwa? Iran walirudisha majeshi yao na jeshi lilokuwa linamlinda Assad pia walitokomea makusudi hakuna ata mzinga mmoja uliolia. Wacha bendera ipandishwe juu mkuu
Haya hiyo kutoka Sky News labda utaamini kwa sababu ni chombo cha habari kutoka nchi za western View attachment 3173115
Kama urusi hautambui ubalozi hakuna wa kulazimisha bendera ipandishwe. Bendera imepandishwa kwa sababu Urusi imekubali ubalozi wa SyriaKwenye diplomasia ubalozi unachukuliwa ni territory ya nchi husika sio ile host state. Kwa hivyo waliopandisha bendera ni wa Syria sio urusi.
Host country ana Haki ya kukataa balozi ya nchi husika. Kwahiyo kama balozi kapokelewa basi Russia kaitambua Serikali. Hata hapa Tanzania mara kibao serikali imeshakataa kupokea mabalozi wa nchi kadhaa
Usigeuze GIA angani rejea post Yako ya mwanzo umeeleza vizuri kwamba hilo jengo la ubalozi lipo Syria na kwamba hapo siyo Urusi. Ila pia nashukuru kwa kuniitia dogo japo hatuonani basi tupeane heshima tu huwezi kujua labda nimekuzidi umri.
Sio kweli mipango ilisukwa na ikasukika, Assad alikuwa tepetepe subiri uone kazi, huoni namna Assad alivyopinduliwa kirahisi, Iran walitoa wanajeshi wao na urusia pia walitulia na Assad akapewa maisha Russia yeye na familia yake. bado hujaamka tu?
Usituletee machafuko kama umeichoka amani Rudi kwenu Burundi. Watanzania tuna Imani na uongozi wa chama cha mapinduzi.
That's the point!Huwezi kupeperusha bendera ya serikali ambayo haitambuliwi na nchi husika.
Na waasi walishasema majeshi ya russia yaendelee kubaki na hawatashambulia mali na assets za russia.