Mkuuu ukiachana na yote uliyosema, kiukweli natamanig sana kujua mchezo wa chess siju naanzia wapi?!Mrusi kashajua Assad kapigwa mpaka kakimbia.
Mrusi anajua kuwa ana base za kijeshi Syria na bado anazitaka, hivyo ni muhinu aendeleze mahusiano na serikali mpya.
Mrusi amekubali ukweli kwamba, kwenye diplomasia hakuna rafiki wa milele wala adui wa milele, kuna interests za nchi tu.
Hivyo ndivyo chess linavyochezwa.
Mkuu kwann unasema watanzania bado hawajaamua? Ww si mtanzania kwan?Kuiondoa CCM inawezekana, wala si kitu kigumu hivyo.
Ila, Watanzania bado hawajaamua tu.
Nilijua una hoja kumbe na wewe una chuki kama walizonazo mayahudi wenzako kwa waislam nenda kazuie basi mayahudi hawatashinda vitaWe endelea kuota huko ulipo mchamba wima kama unataka kuwamaliza wazayuni nenda wewe mfia dini uchwara ukiwa nyuma ya kiboard na msuli wa kanga ya dada yako, wenzio huko sasaivi wanawaza kujenga nchi yao wewe umekalia ujinga tu, wakati hata sauti ya mpasuko wa tairi ya pikipiki unakukimbiza, nguruwe wewe ππ
Kama wamezidiwa mbona Israel na hao LBGTQ wenzako walisema adui yao No.1 ni Iran na Russia kwanini hawapambani nao direct kuwaondoa?Acha kumdanganya. Ni juzi hapa Urusi alikuwa akiwarushia mabomu waasi. Urusi na Iran wamezidiwa.
Ukweli ni nini, tuanzie hapo? Can you prove hiki unachosema ni ukweli??Huo si mtazamo wangu tu, huo ni ukweli unaofuata mantiki.
Ku prove ni nini? Tuanzie hapo.Ukweli ni nini, tuanzie hapo? Can you prove hiki unachosema ni ukweli??
Hili ni jambo la kitaifa linataka ifikiwe critical mass. Wawepo watu wa kutosha walioamua.Mkuu kwann unasema watanzania bado hawajaamua? Ww si mtanzania kwan?
Cheki beginners lessons hapa.Mkuuu ukiachana na yote uliyosema, kiukweli natamanig sana kujua mchezo wa chess siju naanzia wapi?!
Rudi shule kama hujui bendera inawakilisha niniBendera inawakilisha Nini?
ππππRudi shule kama hujui bendera inawakilisha nini