Ok, kunapokuwa na changamoto za kisiasa mambo mengi hujitokeza, hasa kunapoonekana kuna kundi la watu wengi limesahaulika.Mimi sishangai kuna mambo mengi yatazidi kutokea. Tusonge mbele!!!
safi sana kwa bendera ya chadema kupepea mlima kilimanjaro inaonyesha jinc gani uhuru tulivyo upata na na badaye kikwete na wenzake wakaona siyo muda muafaka wa watanzania kupata uhuru muda huu ila nawasihi wanachedema tukaze buti iko siku tutamiliki dola